nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Si Alikuwa na mshahara?Siyo kosa hata kidogo! Kosa ni pale tu itakapo bainika umezipata kupitia njia haramu na za kijinai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si Alikuwa na mshahara?Siyo kosa hata kidogo! Kosa ni pale tu itakapo bainika umezipata kupitia njia haramu na za kijinai.
Dah..mzalendo mchapakazi aliyefananishwa na hayati Sokoine!Gazeti la Raia Mwema la Jumamosi, 15 May 2021 limeripoti kuwa DC aliyefurushwa huko Hai, Lengai Ole Sabaya (34) amepekuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama na kukutwa na ukwasi wa zaidi ya TZS 3 Bilioni.
Kwa mujibu wa gazeti hilo baadhi ya fedha zimekutwa nyumbani kwake na nyingine kwenye taasisi mbalimbali za fedha.
Hatari sana! Kuna umuhimu wa kuja kuwafilisi hawa watu.1.2 million USD.
Nchi hii!View attachment 1788577
Si Alikuwa na mshahara?Hakuna kosa kuwa tajiri au kutajirika! Ishu ni namna ulivyo tajirika. Kama ulitumia njia za mkato na haramu, aheria itafuata mkondo wake.
Zake naye zinahesabikaMhhhhh! Kama hii ni kweli basi ni hatari tupu! Yule Bashite pia kapata utajiri mkubwa kwa kutisha wafanya biashara na kukusanya/kuwapora pesa nyingi.
Kutajirika nalo kosa jamani?
Yule Jamaaa sisiemu walituingiza MkengeMagufuli aliipeleka hii nchi pabaya sana
Udini umetabaruki kila kona nchi hii,Maroli yote Ni waislamu,tumechoka tunataka equality.Kuna kitu kinashangaza, baada ya JK kutoka madarakani watu walizungumza mazuri yake na mabaya kwa kheri kabisa.
Lakini Magufuli mazuri yana zungumzwa kwa kulazimisha na mabaya yakitajwa yanabishiwa kwa matusi na ghadhabu kuu mno kwa nini?
Nafikiri kwa Magufuli kuna kasoro kubwa ndio maana inatumika nguvu kubwa kuficha mambo
Kashikwa yeye ataje chain yoteKwa nini anasumbuliwa Sabaya peke yake mbona akina Bashite na wenzake wmeachwa wanazidi kunenepesha makalio uraiani wakati yanahitajika sana kule Segerea
Mshahara wa milioni 5 kwa mwezi ndiyo ukufanye umiliki bilions!! Hata ujitetee kufanya biashara, bado siyo kazi nyepesi kuzikamata hizo bilions ndani ya muda mfupi.Si Alikuwa na mshahara?
Raia mwema limekuja ki propanga Zaidi.Gazeti la Raia Mwema la Jumamosi, 15 May 2021 limeripoti kuwa DC aliyefurushwa huko Hai, Lengai Ole Sabaya (34) amepekuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama na kukutwa na ukwasi wa zaidi ya TZS 3 Bilioni.
Kwa mujibu wa gazeti hilo baadhi ya fedha zimekutwa nyumbani kwake na nyingine kwenye taasisi mbalimbali za fedha.