Lengai ole Sabaya akutwa na ukwasi wa Tsh. Bilioni 3 baada ya kupekuliwa

Lengai ole Sabaya akutwa na ukwasi wa Tsh. Bilioni 3 baada ya kupekuliwa

Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti kongwe la RAIA MWEMA ni kwamba aliyekua mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Ole Sabaya anaogelea kwenye mabilioni ya shilingi
Alafu badae takukuru watakanusha ujinga uliiandikwa hapa na kuchangiwa hovyo hovyo bila kufikiri ,dunia ya sasa nani atakubali kukaa na kiasi hicho cha pesa kwenye account yake au nyumbani kwake wakati tamko la kumchunguza limetoka ?Ndio maana magazeti ya namna hii usingeyaona wakati wa mwendazake.

Ujinga kama huu ulisambazwa kuhusu kakonkoo kukutwa na kiasi kikubwa cha pesa ,kama kawaida wasiofikiria wakaanza kumshutumu na kutukana kwa jambo ambalo alijathibitishwa na mamlaka za kiuchunguzi ,tutulie tu ,tunywe mtori nyama ziko chini ,nchi yetu hii tutaambiwa mbivu na mbichi za LENGAI
 
Alafu badae takukuru watakanusha ujinga uliiandikwa hapa na kuchangiwa hovyo hovyo bila kufikiri ,dunia ya sasa nani atakubali kukaa na kiasi hicho cha pesa kwenye account yake au nyumbani kwake wakati tamko la kumchunguza limetoka ?Ndio maana magazeti ya namna hii usingeyaona wakati wa mwendazake .Ujinga kama huu ulisambazwa kuhusu kakonkoo kukutwa na kiasi kikubwa cha pesa ,kama kawaida wasiofikiria wakaanza kumshutumu na kutukana kwa jambo ambalo alijathibitishwa na mamlaka za kiuchunguzi ,tutulie tu ,tunywe mtori nyama ziko chini ,nchi yetu hii tutaambiwa mbivu na mbichi za LENGAI
Lkn mwendazake aliruhusu magazeti ya yule mpuuzi Msiba sio?
 
Lengai ole Sabaya anapaswa kulishitaki gazeti hili la Rai kwa kuchapisha defarmatory report dhidi yake zisizokuwa na ukweli wo wote. Awadai wamiliki wa gazeti hilo kumlipa TSh billion tatu kama fidia ya kumchafua. Hii itakuwa fundisho kwao na magazeti mengine yanayofanya hivyo. Hakuna haja ya kuyafungia. Yakikosea maadili yashitakiwe na kulipa fedha hadi yafilisike. Mh. Sumaye alifanya hivyo na akalipwa mabilioni. Sabaya nawe fanya hivyo ulipwe mabilioni.
Hahah tulieni mpewe dawa chungu.Magazeti ya msiba yanaendeleaje?
 
Unadhani gazeti hilo lina waandishi wajinga na wapumbavu wa kiwango chako kiasi cha kutoelewa repercussions za kuçhapisha taarifa ya uongo bila kuwa na uhakika?..
Ya kweli au siyo ya kweli, mahakama ndiyo itakayoamua. Acha sheria ichukue mkondo wake. Nina uhakika watashindwa kuithibitishia mahakama hayo waliyoandika. Eti upekuzi nyumbani kwake ulikuta cash ya TShs 3 billion!

Sijui ni magunia mangapi hayo ya cash money. Na ni nani aliyefanya huo upekuzi na ulishuhudiwa na akina nani. Mambo ya upelelezi wa jinai yana watu wake wanaotambuliwa kisheria na matokeo ya upekuzi huo hayatolewi kwa gazeti la Rai kuyachapisha na kuyatangaza hadharani.

Kama kuna waandishi wa habari wanaofikiri kuwa wana mamlaka ya kudukua taarifa za upelelezi wa makosa ya jinai na kuzichapisha, wanajidanganya. They will face the music.
 
Raia mwema limekuwa kama page za udaku za Instagram au YouTube channel zile zinazusha Tu, kipindi nipo chuo nilikua ni Bora nikose Kula Ila nipate gazeti la Raia mwema
 
Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti kongwe la RAIA MWEMA ni kwamba aliyekua mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Ole Sabaya anaogelea kwenye mabilioni ya shilingi...
"Namwachia Rais afanye kazi yake"

kauli hii inaonyesha wazi kulikuwa na kikwazo some where kilichozuia hata Mkuu wa Mkoa (Anna Mgwira) kumdhibiti Sabaya kuachana na matendo yake maovu kwa wananchi.

Yale machozi msibani yalibeba ujumbe mpana sana.
 
Sabaya afunguliwe pia kesi ya uhujumu uchumi kama yeye binafsi alivyokuwa akifanya kwa wanyonge wengine.
 
Pesa sabuni ya uso
Screenshot_20210518-061113.jpg
 
Kwa aliyoyafanya na Tuhuma zake nikisikia Kwanza amefilisiwa Fedha zote nitashukuru na akipelekwa Udongoni ( Kimedani ) nitafurahi zaidi ili liwe Fundisho kwa wengine japo nashangaa kwanini Paul Makonda ambaye ana mengi ya zaidi ya huyu Ole Sabaya hajaguswa na anatanua tu Mitaani kama Malaika vile.
 
Back
Top Bottom