MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
jamani muacheni atumikie malipo ya matendo yake hapahapa duniani kwakweli... nawashanga wanaomuhurumia KIBAKA SAMBAYAkashinda Kesi zote kwa hiyo yupo wapi saa 9:00 Alasiri hii??muda huu inapigwa Filimbi ya kula pale Jela Karanga kwa ajili ya mlo,saa 10:00 kamili kila mmoja anatakiwa awe Selo kwake ndani hivyo kuona jua ni mpaka kesho,hakika Jenerali Sabaya cha moto anakipata,lile Gambe lote la Arusha mwaka sasa hajaliona daaah maisha haya!!!