Lengai Ole Sabaya kuwa huru?

jamani muacheni atumikie malipo ya matendo yake hapahapa duniani kwakweli... nawashanga wanaomuhurumia KIBAKA SAMBAYA
 
kama ulivyo wewe zombi wa lumumba unamichuki na cdm mpaka makalioni. ila MumeoSAMBAYA... SABAYA NI KIBAKA MZOEFU wacha anyye ndooo tu hakuna jinsi.
View attachment 2306738

Nisaidie, hii pua ni ya kimasai? Wamasai ni watu poa sana. Kama kuiba huiba ng'ombe tu. Hiyo ni jadi. Huamini kuwa ng'ombe wote duniani ni wao. Hapo hakuna mjadala. Pua ya Lengai inaleta mjadala!
 
Mama unapomfanyia mtu jambo fulani fanya kwa haki kwasababu haujui kesho ya mtu..kumbuka Sabaya ni kijana mdogo tena anayependwa na CCM
kwahiyo mtu kupendwa na ccm ni kibali cha kufanyia wengine mabaya?
wapo wapi watetezi wa wale waliokwenda JELA KWA KESI ZA KUSINGIZIWA BILA KUJALI NAFASI WALIZOKUWA NAZO KWENYE JAMII?
HATA BABU SEYA MLISEMA ALIONEWA NA KIKWETE MKASHANGILIA KUONA ANAACHILIWA KISIASA
 
Mfano magufuli alifanya mabaya na kumtanguliza mungu..... mungu ni mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…