Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Mavii..Makonda ni mzinga wa nyuki, ukiguswa nchi haitakalika.
Una akili sawasawa? Mbowe alikula nyama za kigaidi hivyo anashtakiwa kwa huo ugaidi wake na yy ni kifungo cha Maisha. MAHAKAMA ZETU SASA ZIKO HURU ZAIDI.Hana ushahidi alionao ni wa kuchongwa hata awe nani mbowe sio gaidi.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
ExactlyIli CCM itoke madarakani, lazima kwanza watende mambo ya aina hii na mengine mengi siku zijazo.
Mbona husomeki? Unaandika mambo yasiyokuwepo?Uchaguzi ukikaribia utaona kitakachotokea.
Hivi rugemalila alikuwa amehukumiwa miaka mingapi?
mods naomba hii picha iende jukwaa la photos Kwenye Uzi wa Jambazi itakaa origino Sana!
Punguza hisia, simama kwenye uhalisia.Hii hukumu kuna mtu anatafutwa, ili waje waseme kwa sabaya ilikuwa hivi, sidhani kama ushahidi umekamilika.siasa chafu sana
Nasomeka vizuri tu, sema wewe ndo ndo uelewi, mimi nilitaka kujua miaka alohukumiwa ili nipate jibu ninachokiwaza.siasa ni mchezo mchafuMbona husomeki? Unaandika mambo yasiyokuwepo?
Ndio maana nakwambia na kukuuliza ili mbowe aachiwe ilipaswa Sabaya achiliwe ?Si kuachiwa ila hii kesi kwa jicho la tatu Ina siasa ndani yake ili wakija kumfunga Mbowe waseme mbona sabaya alifungwa?
Tuombe tu kesi ya Mbowe mawakili na majaji watende haki!!
Kwani yupo basi, ameshakimbia yupo Afrika kusini huko.Makonda ni mzinga wa nyuki, ukiguswa nchi haitakalika.
Haya ni maandalizi ya mvua kwa mwamba,kama haitakuwa 30 na yeye. Tutaona mengi.Mama ameapa kusimamia haki.
Mama anataka kuona utawala wa sheria, mahakama zitakuwa huru bila mashinikizo kutoka mihimili mengine.
Mungu ambariki Mheshimiwa rais mama Samia Suluhu Hassan.
Niliwaza hivo piaSijapenda hukumu hii maana wasiwe wanajenga ngao ya kumfunga Mbowe na baadaye wam- pardon Sabaya na kumsamehe na kumpa cheo!
Jiwe naye alikuwa ni mshenzi tu na huko aliko ahukumiwe kumi mara sabini ..Kampiga marisasi Lissu bila kosa lolote kisa hoja za kisiasa...kawajaza ujinga ma madogo wanatomba wake wa zatu hovyo hovyo kisa madaraka na vyeo vyao pumbafu...waliomtumia na kumtuma Sabaya walaaniwe.
Daah mrembo, juzi umeua sana ulivyocheza na Ipupa kwa stage Mwanza[emoji8][emoji8]Wajuzi si mtu akihukumiwa arusha anaweza kwenda kutumikia kifungo chake mbeya?