Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Bado kesi mbichi kabisa hii, hujui kuna kukata rufaa?Vipi mkuu, unasemaje kuhusu hukumu ya mahakama ya miaka 30 dhidi ya kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha iliyomuangukia Sabaya!!?? Bado wameamua kumhifadhi kwa miaka 30 dhidi ya gaidi!?? Viboko wakili amemuombea viondolewe, na ombi limekubalika.
Nini chakushangaza hapo!!! Sheria inataratibu nyingine za kufuata, mlango wa rufaa hauujui nn…Hebu rudia tena
Show bado mbichi kabisa….Hahaaaaa!!!chali kifo cha Mende, nyang'any'any'a!!!sasa kazi tuna muachia BABA NYAMPALA huko, tuna mtakia kila raheli, ndio mjifunze kuishi kwa kumtegemea mfadhiri!!kuna muda mfadhiri anaondoka
Bado sijaikataa sauti yangu hata baada ya hukumu, time will tell.Noted,usije kuikana sauti yako.
Toka anakamatwa mlijipa moyo, hivyo hivyo sasa , mmekimbilia kwenye rufaa!!ila ki ukweli hata kama atatumikia jela mwezi mmoja tayari wengi wameridhika!!kumbe ule msemo wa sponsor hufariki una maana kubwa sana.Show bado mbichi kabisa….
This was the end of Chapter one, let’s just be patient for the next chapter..Vipi bado hamna kesi ?
Rufaa unajua inavyofanya kazi? Huyu mwamba amekiri kwa mdomo wake rufaa ya kazi gani? Kitendo cha kusema alitumwa na mamlaka ya uteuz hapo ame confess kwamba alifanya , akishindwa kwenye rufaa wajua adhabu inaongezeka?Nini chakushangaza hapo!!! Sheria inataratibu nyingine za kufuata, mlango wa rufaa hauujui nn…
Ugomvi wao umeleta diversity nzuri kwa utawala wa sasa, challenge hakuna tena… mpaka 2025 ni mahakamani kwa kwenda mbele…kwahiyo gaidi alikuwa anawindwa na magaidi wenzake sirikali ikamsaidia
Umeshindwa kuelewa kitu gani hapo wewe poyoyo? Yaani umeshindwa hata kufanya rejea tu za hukumu kwa makosa ya kutumia silaha? Ukikutwa na kosa la matumizi ya silaha, hukumu yake ni miaka 30. Kama mko 100 basi kila mtu ana miaka yake 30. Shule ulienda kusomea nini?wanasheria tunaomba ufafanuzi hapa kuna wengine wanasema hukumu ni jumla ya miaka 30 hivyo inagawanywa kwa watu 4 kila mmoja mika 7, wengne wanasema kila mmoja miaka 30 kwasababu miaka haigawanyiki
hivyo ukweli ni upi
Yule mama alitishwa, maelezo yake anapingana na CCTV footage zilizorekodiwa dukaniSasa yule mke wa mwenye duka lililovamiwa ambaye utetezi wake ulipingana na mumeo kwamba sabaya hakufika dukani hapo,ndio miongoni mwa utetezi uliokataliwa.sijui kama ndoa yake ina hali gani
Truth teller vipi apo unaendeleaje na haliAtapata si chini ya kifungo cha miaka mi 3 mpaka mi 5 au kulipa faini.
Atalipa faini ambayo haitazidi hata milion 6 then ataachiwa.. kuzuga atakamatwa tena kwa ajili ya mashtaka mapya.
hii case ni ya mkakati.
ni heri ufuatilie ugali wako..
Hukumu yake naifahamu.
Sabaya kifungo cha maisha kinamwitaUna ongelea Mbowe!!..Sabaya bado ana Kesi nyingine ndio utajua hujui!!!..Hii moja Kala 30 tuna subiri hukumu nyingine Ndugu!!!..
Mashitaka dhidi ya Mbowe Ni ya kubumba,!Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Sasa na nani ndani ya CHADEMA au vyama vya upinzani, matendo yake, kwa uwazi kabisa,unaweza kulinganisha na na matendo ya jambazi Sabaya?Chadema bhana [emoji16][emoji16] mkishikwa mnaonewa ila wengine wakishikwa ni haki zao
Hana pesa kwa sasa. Pesa wanajilia mawakili na wasiojulikana wanaomdanganya kuwa watamtoa. Akitoka ataishi kwenye maisha yake halisi siyo ya kutegemea hela za uporaji. Atakapotoka Dunia itakuwa imebadilika, akija na aliyoyazoea, atakaa mtaani wiki moja, atarudi tena jela.Sabaya ana mipesa akitoka anaoa kitu kipya
Ujambazi wa kutumia slaha, hauna faini. Ni jela tu.Atatoka kesho TU!, Atatoa faini yatspita. Usimuombee mabaya jirani yako
Mwulize Kingai alikaa na nani kumtengenezea Mbowe hiyo kesi. Kingai angekuwa na akili japo kidogo, asingembambikia kesi mtu, ya kuifanya Dunia nzima kufuatilia.Kesi ameitoa wapi?
unafahamu akikutwa na hatia adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa?Mashitaka dhidi ya Mbowe Ni ya kubumba,!