Dah!...madam please...usiwaze hayoHivi general Sabaya na yeye alivyoingia jela alivua nguo akabaki uchi akakaguliwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natamani nimwone kwenye zile kaunda suti za orange[emoji23]
Endelea kuota..Mama mwaka 2025 anaondoka hapo alipo sio Rais sio chochote....
Sijiui ila ntampata sisi hatuachagi watoto njeNyie ndio mnaishiaga kuua na kujiua
Shauri yako[emoji41][emoji41][emoji41]
Nywele hajakata.huko ni full zungu.
Umepatia kasoro nywele tuu.
Mbowe afungwe sawaa, tunajua kaonewa, hakuna mtu yeyote anaeweza kusimama akasema Mbowe alifanya hivi , n uonevuHii hukumu ya sabaya ni namna tunaandaliwa kisaikolojia kupokea hukumu ya mbowe.amka kijana,mbowe kaisha...
[emoji19], soma ulicho kiandikamahakama haihamasishi wenye mashauri kufungua kesi. hiyo haijalishi kama ni huru au siyo huru.
Ndicho alikuwa akistahili na ni haki yake kutokana na makosa yake aliyoyafanya[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1976583
Labda ilikua kwenye harakatiWala hana nyumba
Huyo hakimu atakuwa na tatizo nadhani sio bure kabisaaa...sasa wakina mbowe si ndio watafungwa kifungo cha maisha au??Silajha yenyewe haikutumika yaani hata huyo hakimu mihemko ndo imemwendesha!
kaa kwa kutulia wakati tunasubir hatma ya gaidiTulia wewe kitu kigumu kikuingie
tupige kimya wote wakati tunasubir hatma ya gaidi
kajambe na wewe wakati unasubiri hatma ya gaidi wakoKajambe mbele huko.au kama unamuonea huruma sana nenda kamsaidie. Au mlikua wote kwenye ujambazi nini
wewe unajuaje huyu alitenda na huyu anabambikiwa ?Kama hutendi uovu, na haupendi uovu Hilo halita kukuta labda ubambikiwe kama aliyebambikiwa ugaidi.
kaa kwa kutulia tutajua mashahidi wapo au hakunaWaliokuwa wanavuliwa nguo na kuambia wakae na kusimama kwenye misumari ..
Kwa mbowe kesi la kubumba lile hata
mashahidi halina..
kaa kwa kutulia usibir hatma ya gaidiUmenuna?
NdiyoYes. Katoboa
usione dana dana nyingi kwa ugaidi alioufanya mbowe mahakama inashindwa impe adhabu gani gaidikaa kwa kutulia
kaa kwa kutulia tutajua mashahidi wapo au hakuna