Kuwapa wagombea walioenguliwa siku 2, 08 - 09/11/2024 kuwasilisha mapingamizi yao wakati akijua siku hizo ni weekend na sehemu nyingi ofisi za umma huwa zimefungwa.
Lengo lake lilikuwa ni nini, kutaka wananchi wajichukulie sheria mikononi au?
Tusiangalie uchaguzi huu tu think about 20 years to come taifa litakuwa na viongozi wangapi wa aina hii.
Trump yupo sahihi sana kutuita shit hole countries, yaani viongozi hawana future na nchi zao wanaangalia matumbo yao tu.
Lengo lake lilikuwa ni nini, kutaka wananchi wajichukulie sheria mikononi au?
Tusiangalie uchaguzi huu tu think about 20 years to come taifa litakuwa na viongozi wangapi wa aina hii.
Trump yupo sahihi sana kutuita shit hole countries, yaani viongozi hawana future na nchi zao wanaangalia matumbo yao tu.