Lengo la dini ni nini?

Lengo la dini ni nini?

Bwana deni embu soma Wikipedia ya Buddha then utajua dini ni man made,Buddha wrote all rules and laws of life which are almostly resemble to those of islams and christians,he just sit and meditate then comes out with a lot of rules and laws to govern life
Laiti ukijua ya kwamba shetani alikuwepo kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu! Buddha ni nani hasa! Na ana miaka mingapi hapa duniani?

Huniambii kitu kwa habari ya meditation maana nilikuwa huko. Kinachowapoteza wengi kuona kuwa Buddhism ni sahihi ni roho moja tu ya upotevu. Nayo ni "Yin-Yang" (good-bad, male-female, hot-cold, black-white) na si hivyo tu. Husema hivi "as above, so bellow".

Mnapotea. Biblia inasema:

Yohana 4:24
24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Pia twasoma:

1 Wakorintho 2:13-15
13 Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

14 Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.

15 Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.


Ku ufupi ntakwambia kuwa brother, nilikuwepo huko kwenye hicho unachoamini na usishangae nikisema kuwa huenda najua mengi juu ya hiyo imani yako kuliko wewe unavyoizungumzia.

Jehanamu ya moto ipo kweli na Mbingu zipo kweli. Siku ukihamua kuamini na kumgeukia Mungu na ukiamini kuwa Mungu aliupenda ulimwengu na kumtoa mwanaye Yesu Kristo. Ndiyo siku utakiri kwa kinywa kuwa Mungu yupo.

Hamjui ya kuwa Kristo ndiye atakayehukumu siku ile! Nasisitiza tena Mungu yupo, Yesu yupo, Roho wake yupo. Mbingu zipo, Jehanamu ya moto ipo, shetani na mapepo yake yupo.
 
daah ebana den umetisha, ila kwa kiasi kdogo npo upande wako, mie nimezaliwa katika familia ya kikristu na nikiwa na mwaka 1 nkabatizwa kama mkatoliki, ila kuanzia miaka 4 nyuma mpaka saiv huwa nasaligi nyumban make nmekuja kuona dini zishakuwa business.
1 Wakorintho 2:13-15
13 Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

14 Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.

15 Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
 
1 Wakorintho 2:13-15
13 Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

14 Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.

15 Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
 
Kila Dini zina Mistake zake ambazo ni mbaya na zinapoteza maana ya dini hizo kwa wasiozikubali.

Ki ufupi Binadamu ndio wametengeneza Mungu na kumuabudu.. ndio ukweli wenyewe... Hakuna Mungu aliyetengenezwa na Binadamu akiongea
 
We mwanadamu wewe! Mungu yupo na Yesu ndiye njia.

Unauliza kwa habari ya kweli?
Twasoma:

Yohana 14:6
16 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Pia twasoma:

Yohana 4:24
24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Na si hivyo tu, bali twasoma:

Isaya 55:6
6 Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana,Mwiteni, maadamu yu karibu;

7 Mtu mbaya na aache njia yake,Na mtu asiye haki aache mawazo yake;Na amrudie BWANA,Naye atamrehemu;Na arejee kwa Mungu wetu,Naye atamsamehe kabisa.


****soma Biblia kaka****
 
Mungu yupo na atabaki kuwa Mungu tu hata ufanyeje, bora ukamini siku ukifaa ukose kuliko kumkataa alafu uende umkute,,, utalia na kusaga meno
 
Back
Top Bottom