Lengo la kuanzishwa TAKUKURU lilikuwa ni nini?

Lengo la kuanzishwa TAKUKURU lilikuwa ni nini?

1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.

2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?

**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
Mwanzilishi alokują na nia nzuri, lakini Takukuru imekuwa yenyewe ni corrupt, inawatunza na kushirikiana na mafisadi. Inashirikiana na viongozi wasio na uadilifu yaani kuwalinda viongozi kwenye wizi na ubadhirifu.

Sifa yao kubwa ni kushika vidagaa na kuwalinda mapapa.
 
1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.

2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?

**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
Swali fikirishi hivi kipimia upepo,, (barometer), kikiharibika unafanyaje,, yaani kushindwa kupima atmospheric pressure , msukumo na muelekeo wa upepo, angalizo muundaji wa kipimia upepo ni wewe mwenyewe,, na lengo la kupima msukumo na muelekeo wa upepo unalijua mwenyewe
 
1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.

2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?

**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
Serikali ili ipendwe na wananchi lazima ianzishe ajira nyingi kiasi iwezekanavyo, kwshiyo lengo lilikuwa ni kuongeza wigo wa ajira, mengine ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.
 
Malengo yalikuwa ni kuongeza/kutengeneza AJIRA na ULAJI.

Rushwa inaweza kuondoka tu Katiba ikitengemaa, na Mahakama wakatenda haki, yani mfumo wa sheria na utoaji haki ukikaa sawa rushwa itaisha.

Mbona huko tulikokopy hakuna taasisi za kuzuia rushwa na maisha yao yako safi kabisa.
 
1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.

2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?

**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?TAKUKURU ipo kwa ajili ya kuimarisha rushwa na siyo kuzuia rushwa
TAKUKURU ipo kwa lengo la kuimarisha rushwa na siyo kuzuia rushwa
 
1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.

2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?

**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
Ilianzishwa kuongezea urefu wa kamba za walaji/mbuzi wa ccm.
 
1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.

2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?

**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
TAKUKURU ni moja ya Taasisi za hovyo Tanzania. Haina tija yeyote. ni hasara kwa Taifa, kwa walipa kodi. Haya mataasisi ya hivi hupatikana tu kwenye shithole countries
 
Mwanzilishi alokują na nia nzuri, lakini Takukuru imekuwa yenyewe ni corrupt, inawatunza na kushirikiana na mafisadi. Inashirikiana na viongozi wasio na uadilifu yaani kuwalinda viongozi kwenye wizi na ubadhirifu.

Sifa yao kubwa ni kushika vidagaa na kuwalinda mapapa.
Ikifanyika audit ya ukweli.. hakuna wala rushwa wakubwa kama hao.
 
Unapoanzisha kitu unakua na Hamasa na unakua Comitted, Tatizo linakuja aina ya watu uliopanga kufanya nao kazi!!
 
Back
Top Bottom