Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAKUKURU NG'ATA1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.
2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?
**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
Hicho kitu ni cha kukifuta kabisa hakina kazi tena,kiliundwa kwa ajili ya kudhibiti Rushwa na ufisadi sasa bahati mbaya kimegeuka chenyewe kuwa ndio rushwa na ufisadi.1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.
2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?
**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
Mwabukusi apewe UkurugenziNey wa Mitego akamatwe
Mkuu hujajibu swaliMwanzilishi alokują na nia nzuri, lakini Takukuru imekuwa yenyewe ni corrupt, inawatunza na kushirikiana na mafisadi. Inashirikiana na viongozi wasio na uadilifu yaani kuwalinda viongozi kwenye wizi na ubadhirifu.
Sifa yao kubwa ni kushika vidagaa na kuwalinda mapapa.
Awali ilianzishwa na kuitwa Taasisi ya Kuzuia Rushwa (TAKURU) au 'Prevention of Corruption Bureau' (PCB). Lakini ugumu wa kazi ya Taasisi hii ni katika kuzuia; na hakika lengo hili halijawahi kufanikiwa, hasa kwa rushwa kubwa na ufisadi. Baadaye Taasisi ilibadililishwa kwa sheria namba 11/2007 na kuitwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) au 'Prevention and Combating of Corruption Bureau' (PCCB). Hapa waliongeza kipengere cha kupambana, na hiki ndicho kinaendelea nchini, yaani Taasisi inapambana na walarushwa pia wanapambana na Taasisi. Ipo haja Taasisi hii kuwa na chombo huru cha kuisimamia katika utendaji wao wa kila siku.1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali.
2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia?
**Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?