Umerudi mzee wa nafasi yako ya kwanza?karibu sana, tuwekee picha tuone
shikamoo mzee baba Josekaribu sana, tuwekee picha tuone
Hahahahahahahahah ha we jamaa kiazi kweliSawa ndio nipo natafuta picha nzuri niliyopiga Posta mpya niweke munione
AAH KAWAIDA TU MKUUUmerudi mzee wa nafasi yako ya kwanza?
Marhaba mkuu😎kwema?shikamoo mzee baba Jose
KwannHahahahahahahahah ha we jamaa kiazi kweli
Na mimi nitawafatiliaNilivutiwa na JF baada ya kuona uzi wa unyama wa polisi, ila tangu nijiunge nimebase katika hadithi za Mapenzi hasa za Cocochanel, Shunie na n.k, Mwana jf nayempenda sana ni Max, Mshana, Paskali, Barafu, Nguruvi, JMushi, Invisible,Khantwe, Manengelo, Lala 1, Mwifwa,Ndumula Ndemla,Roone na wote, Relief Mizarska tupo pamoja na wote ntawataja ,tuenjoy
Ahsante sanaNilivutiwa na JF baada ya kuona uzi wa unyama wa polisi, ila tangu nijiunge nimebase katika hadithi za Mapenzi hasa za Cocochanel, Shunie na n.k, Mwana jf nayempenda sana ni Max, Mshana, Paskali, Barafu, Nguruvi, JMushi, Invisible,Khantwe, Manengelo, Lala 1, Mwifwa,Ndumula Ndemla,Roone na wote, Relief Mizarska tupo pamoja na wote ntawataja ,tuenjoy
Unafaa kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumiHahahahahahahahah ha we jamaa kiazi kweli
Ahsante mkuu kwa kuappreciate.Nilivutiwa na JF baada ya kuona uzi wa unyama wa polisi, ila tangu nijiunge nimebase katika hadithi za Mapenzi hasa za Cocochanel, Shunie na n.k, Mwana jf nayempenda sana ni Max, Mshana, Paskali, Barafu, Nguruvi, JMushi, Invisible,Khantwe, Manengelo, Lala 1, Mwifwa,Ndumula Ndemla,Rooney na wote, Relief Mizarska tupo pamoja na wote ntawataja ,tuenjoy
Acha hizoHahahahahahahahah ha we jamaa kiazi kweli
Ule uzi wa picha za demu yeyote mkali ulnifanya nijiunge jf [emoji28]Ahsante mkuu kwa kuappreciate.
Tutembee pamoja katika jamvi letu
Hahahahahaah jamani mimi huyu huyu????[emoji31][emoji31][emoji31]Unafaa kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha hizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ule uzi wa picha za demu yeyote mkali ulnifanya nijiunge jf [emoji28]