Kama kichwa kinavosema hapo juu, mimi ni kijana wa miaka 26 mjasiriamali wa shughuli ndogo ndogo, ninaishi kwenye chumba kimoja (ghetto) ambacho hakina runinga, kutokana na uhaba wa kuangalia taarifa mbali mbali za habar nikaonelea nijiunge JF ili niweze kupata habar kwa uharaka zaidi ,natanguliza shukrani mnipokee kijana wenu kutoka mkoani nimekuja kwa makonda kutafuta