Primary objective ya jkt ni kutengenza askari wa ziada(reserves).
Ukichambua kwa umakini siasa za afrika mashariki hivi karibuni utajua kuwa at any time t Tanzania yaweza kupigwa at multiple fronts.Rwanda,Kenya,Uganda wamesaini mkataba wa kijeshi.Akishambuliwa mmoja wanashambulia wote
Southern front unakutana na Malawi na kelele zake.Jua pia kuwa hizi zote ni flashpoints.Wote hawa wanaisuburi Tanzania at its moment of weakness kui attack
Akianza mmoja watatupiga wote kutoka kaskazini na kusini.Ili ku counter hii threat wana stratejia wa jeshi letu pendwa wakaamua kuanza kutengeneza foot soldiers at a massive scale
Ndo tunakutana na hii kitu ya jkt kwa mujibu wa sheria.Tunahitaji askari wakutosha kupigana front zote hizi kwa mpigo
Analysis hii ni on worst case scenerio.Pamoja mkuu