Hoja ya Manara inajionyesha kabisa azam wa mission maana kama hawana huwezi kurusha matangazo bure 1hr na dk26 hivi hivi. Azam wanatamani sana wapate pia mkataba wa Simba na Azam. Sasa wanamtumia Manara kufanikisha deal
Tuwe machoooo. MO asimjibu Manara kama anataka kuendelea na Simba kwa sababu kuna mtego hapo na kundi kubwa nyuma ya Manara kufanikisha hili ndio maana watu wengi hasa wanamichezo wanafurahi sana hii saga.
Tuwe machoooo. MO asimjibu Manara kama anataka kuendelea na Simba kwa sababu kuna mtego hapo na kundi kubwa nyuma ya Manara kufanikisha hili ndio maana watu wengi hasa wanamichezo wanafurahi sana hii saga.