Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mkutano wa more ulikuwa liveHoja ya manara inajionyesha kabisa azam wa mission maana kama hawana huwezi kurusha matangazo bure 1hr na dk26 hivi hivi. Azam wanatamani sana wapate pia mkataba wa Simba na Azam. Sasa wanamtumia Manara kufanikisha deal
Tuwe machoooo. MO asimjibu manara kama anataka kuendelea na Simba kwa sbb kuna mtego hapo na kundi kubwa nyuma ya manara kufanikisha hili ndio maana watu wengi hasa wanamichezo wanafurahi sana hii saga
Wamjibu vipi, wakati nasikia huko MUDY, anataka kuwaachia timu, anacheza na akili zenu tu!! Kweli duniani kuna viumbe wa ajabu, yaani nondo zile za Manara unaziita mipasho?!!Manara kichwa kibovu sana, anadhani Simba watamjibu mipasho yake mpuuzi kweli, anywe maji mengi akubali hayupo Simba tena.
Heee!! Simba anashiriki afcon toka lini? Sasa amkomoe kivipi, kwani Manara ndio alikuwa anazuia? Jibuni hoja zakeLzm moo atajitutumua kumkomoa manara kwa kufanya kufuru kwenye usajili ili Simba. Ichukue ubingwa au wafike mbali na kweny afcon