Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tumekusikia!"Magufuli ni mwizi kuliko marais wastaafu wote.
Anachokifanya kwa mawaziri, makatibu na wakuu wa mikoa kawaambia kabisa nyie pigeni lakini mnijulishe na mnipe mgao wangu
Ana kakikundi fulani ivi kazi yake kula nchi."
Kama uliisoma body language ya kabudi ni kuwa korongo alishammeza chura, chura nae akashika koromeo, alisema barrick walishatafuta wachina watuuzilie mbali bahati nzuri/mbaya hawakufika bei, ni mungu saidia prof Thornton kapatwa maradhi ka step down ndio Mark kupata fursa na kuamua kututoa mdomoni mwa korongo, sasa tuache kumwamini kwa lipi? sisi tumempa ulaji nayeye katutolea mwiba.Kwahiyo Mark kwa kusema vile umemwamini kweli kabisa? Yani mtu aaminiwe kuongoza Barrick Afrika kisha aje kuangalia maslahi ya watanzania? Kiukweli wana CCM wengi sana huwa tunafeli hapa! Kuamini kuwa kiongozi wa serikali au mtu akiongelea upande wetu kwa uchungu na kujipiga piga kifua basi huyo na baba wa kweli. Tujifunze kutoka nje ya miili yetu ya asili ili tujue mengi zaidi.
Yani kweli kwa ulichoandika nimekudharau kabisa! Kwamba kwakuwa jamaa alijiita mwafrika basi kwako amemaliza kila kitu? Shame!
Tumekuelewa mkuu!Mwana CCM huna hoja. Sana kama si kutukana basi utaandika kama hivyo!
Ninakubaliana na sehemu kubwa ya mada yako huko juu.Leo miaka miwili imepita, umesaini makubaliano ya hovyo hovyo kuwahi kutokea, ACACIA wamepata mgao wao bila kwenda mahakamani. Barrick anapeleka makinikia nje kuyachenjua kiulaini kabisa na mambo yanaendelea vyema huku Barrick akipiga bao la nguvu.
Sisi tunakuuliza kuwa, lengo lako hasa lilikuwa ni lipi? Au ulikuwa tu hulipendi jina ACACIA? Lilikukosea nini?
"Magufuli ni mwizi kuliko marais wastaafu wote.
Anachokifanya kwa mawaziri, makatibu na wakuu wa mikoa kawaambia kabisa nyie pigeni lakini mnijulishe na mnipe mgao wangu
Ana kakikundi fulani ivi kazi yake kula
aiseee...
Mkuu kaisikilize kwa umakini speech ya Mark Bristol, Mzaliwa wa africa ya kusini mwenye asili ya uyahudi, kasema yeye ni mwafrica halisi tena mzulu, alimaanisha kuwa africa tunapaswa kuwa wamoja yanapokuja maslahi ya africa. isingelikuwa kukomaa kwa magufuli Mark asingekuwa ceo wa barrick, na Mark asingekomaa na Geleta tusingepata huyu mtoto twiga minerals, na huu ndio ushirikiano wa kikanda akasema, either we win together or we loose together na hii ndio africa mpya chini ya magufuli. Umeelewa?
Tena wayahudi hawahawa ambao hata wazungu wenzao wana waogopa kibiashara kwa jinsi walivyo wajanja?Hawa jamaa wa CCM wakishaona Magufuli kakubali kitu basi ni Mungu kapitisha. Yani myahudi akusainie documents halafu akupongeze na wewe ucheke? Muda utaongea tena kama jinsi ambavyo umeongea!
Hawa jamaa wanajua sana kucheza na lugha, na hasa maneno yale ambayo wanajuwa yatatufurahisha. Na hapo ndipo wanapotupata na kutupiga kirahisi.!
Hamna kitu kinaitwa win together kwa mapebari...hiyo ni siasa tu kuonyesha tuko pamoja ila tutaendelea kupigwa tuu.
Mkuu hope muda utafika ukishaona kila kilichopitishwa tutakuwa upande mmoja.Ninakubaliana na sehemu kubwa ya mada yako huko juu.
Ila haya uliyoweka kwenye mistari hii minne yanavuruga kwa kiasi kikubwa mada nzima. Tunajua uongo mwingi uliowekwa kwenye ripoti ya Mruma, na hakika ilikuwa ni "Professorial garbage," iliyokuwa na lengo la kuwatishia tu ACCACIA, huku ikituzubaisha sisi walala hoi wa Bongolala; hasa tulipokuwa tukiambiwa yale malori ya tani saba saba yamajazwa dhahabu tupu!
Lakini,wewe hapa una maana kwamba hakuna lolote lilobadilika katika mikataba ile iliyokuwepo inatumiwa na ACCACIA? Mbona hilo liko wazi, na sheria mpya zimetungwa,...au una maana gani!
Yani Kabudi ni muongo muongo anayedhani watu hatuna akili kabisa.Kama uliisoma body language ya kabudi ni kuwa korongo alishammeza chura, chura nae akashika koromeo, alisema barrick walishatafuta wachina watuuzilie mbali bahati nzuri/mbaya hawakufika bei, ni mungu saidia prof Thornton kapatwa maradhi ka step down ndio Mark kupata fursa na kuamua kututoa mdomoni mwa korongo, sasa tuache kumwamini kwa lipi? sisi tumempa ulaji nayeye katutolea mwiba.
Katika Corporate management its all about trust, Jack Mar alisema, alibaba its all about trust, why not Twiga to be all about trust? Mtu kavunja ofisi London kaileta Mwanza mji uliomtoa kimaisha.
Na wana CCM wamechukua ile quote wanaitembeza kwenye mitandao ila wamejisahau wakaweka na picha ya huyo mwafrika mwenzao!"Mimi ni muafrika mwenzako" waliposema hivyo beki zote zikalegea.
Barrick "kauza" kwa randgold kisha randgold baadae "atauza" kwa barrick. Mtu yule yule ila kabadili nguo.
Ukiona mzungu anapambana ujue chini bado kuna mzigo mwingi sana wa dhahabu na makinikia ya madini ya kutengenezea simu na computer.Na wana CCM wamechukua ile quote wanaitembeza kwenye mitandao ila wamejisahau wakaweka na picha ya huyo mwafrika mwenzao!