Lengo la Serikali ya CCM ni kuona Mbowe akisalimu amri na kuomba msamaha kwa Kesi ya ugaidi inayomkabili?

Mbona hamsubiri kazi ya wakili msomi @kibatala?

Mbona hamtaki Demokrasia wakati nyinyi ni wana demokrasia?

Si msubiri mwisho wa kesi na muone nini kitatendeka!

Au mna wasiwasi kwa sababu kuna ukweli mnaoujua!
 
K
Kesi ya Mandela haikuwa ya kubambika! Ilikuwa ya kweli ya uhaini, alitaka kuangusha utawala wa Afrika kusini wa wakati ule kwa kutumia nguvu. Alikuwa anawaongoza wapiganaji wa Umkhontho weSizwe. Ila ugaidi wa Mbowe siyo ule kama wa Mandela. Ukilinganisha ni kama Armed robber na kibaka (mwizi wa kuku)!
 
Without Fear or Hate,Mbowe isn't a Terrorist-Masuala ya utalii?
 
Mbona hamsubiri kazi ya wakili msomi @kibatala?

Mbona hamtaki Demokrasia wakati nyinyi ni wana demokrasia?

Si msubiri mwisho wa kesi na muone nini kitatendeka!

Au mna wasiwasi kwa sababu kuna ukweli mnaoujua!
Hakuna wasiwasi,kinachotusikitisha ni jinsi mahakama,Jaji na waendesha mashtaka wa serikali wanavyolazimisha kuwe na kesi wapige mpunga wa Wadanganyika-kodi vs posho ilhali ushahidi walioleta ni wa kuunga unga.Hata hivyo natambua kuwa unaufahamu ukweli ila unajibaraguza tu.
There were No Case to Answer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…