Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huwezi kumnunulia kwanza? Ungekuwa na nia ya kweli ungeshanunua siku nyingi.Michango yote isimame warudishiwe fedha zao wale wote waliokwishachanga. Mimi nitamnunulia Lissu gari yoyote atakayochagua - brand new.
Sikujua kama anahitaji gari nyingine kwani ninajua kuwa zaidi ya hilo la ubunge alikuwa na magari mengine ya binafsi, na kwa nafasi yake kama Makamu mwenyekiti pia atakuwa na gari ya Chadema. Sasa hivi ninejua kuwa anataka gari ndiyo nimetoa ofaKwani huwezi kumnunulia kwanza? Ungekuwa na nia ya kweli ungeshanunua siku nyingi.
Hili suala la kuchanga fedha za kununua gari inaonekana limewakasirisha baadhi ya watu. Watu wanakasirika siyo kwa sababu ya Lissu kutaka kununuliwa gari, la hasha. Wanakasirika kwa sababu ya ''ujumbe'' ulioandamana na huo mchango. Ujumbe wa kulaani wale waliotaka kumuua. Ujumbe wa kuonyesha Lissu anapendwa na watu wengi. Hili litafanya watoaji tuchange kwa moyo zaidi ili kuendelea kuwakarisha wale wasiopenda.uhuni mtupu alafu wakishamba
Huu mchango wa gari ni zaidi ya mchango wa gari. Ni ujumbe kwa wale waliotaka kumuua. Ni ujumbe wa kuandika historia kwa vizazi vijavyo. Ni ujumbe wa kuonyesha tunathamini anavyotupigania. Hivyo bado una nafasi ya kujazia pengo lote kama uwezo unao japo najua huna hata uwezo wa kununua used vitz.Sikujua kama anahitaji gari nyingine kwani ninajua kuwa zaidi ya hilo la ubunge alikuwa na magari mengine ya binafsi, na kwa nafasi yake kama Makamu mwenyekiti pia atakuwa na gari ya Chadema. Sasa hivi ninejua kuwa anataka gari ndiyo nimetoa ofa
hii nguvu mngeipeleka walau kwenye ujenzi wa ofisi za chamaHili suala la kuchanga fedha za kununua gari inaonekana limewakasirisha baadhi ya watu. Watu wanakasirika siyo kwa sababu ya Lissu kutaka kununuliwa gari, la hasha. Wanakasirika kwa sababu ya ''ujumbe'' ulioandamana na huo mchango. Ujumbe wa kulaani wale waliotaka kumuua. Ujumbe wa kuonyesha Lissu anapendwa na watu wengi. Hili litafanya watoaji tuchange kwa moyo zaidi ili kuendelea kuwakarisha wale wasiopenda.
Lissu hachangiwi na wana Chadema. Lissu anachangiwa na watanzania wa vyama vyote.hii nguvu mngeipeleka walau kwenye ujenzi wa ofisi za chama
shitukeni mnapigwa na huyo mmachame
Lisu mmachame? 🐼hii nguvu mngeipeleka walau kwenye ujenzi wa ofisi za chama
shitukeni mnapigwa na huyo mmachame
Kama mchango haukuhusu acha kejeliKuchangia fedha kimya kimya si motisha kwa mchangiaji,tunaombwa tujuzwe ni shillingi ngapi zinahitajika kununua gari ili watu wachangie kwa malengo vinginevyo uchangiaji huu hauna afya kwa mchangiaji. hiyo gari ni ya shillingi ngapi?
Kuchangia fedha kimya kimya si motisha kwa mchangiaji,tunaombwa tujuzwe ni shillingi ngapi zinahitajika kununua gari ili watu wachangie kwa malengo vinginevyo uchangiaji huu hauna afya kwa mchangiaji. hiyo gari ni ya shillingi ngapi?
nadhani uchangiaji huu hauna kikomo, na bilashaka mchango uliombwa utaendelea kukusanywa mpaka pale itakapo tangazwa vinginevyo 🐒Kuchangia fedha kimya kimya si motisha kwa mchangiaji,tunaombwa tujuzwe ni shillingi ngapi zinahitajika kununua gari ili watu wachangie kwa malengo vinginevyo uchangiaji huu hauna afya kwa mchangiaji. hiyo gari ni ya shillingi ngapi?
nazumgumzia mwenyekiti mnazi anayeongoza genge lakeLisu mmachame? 🐼