Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Aliitwa kichaa kabisa. Leo anaimbiwa mapambio.Mlikuwa mnamuunga mkono?Au ndiyo "kufa usifiwe"?
Unafiki wa binadamu hakika hauna kikomo.
Ila mwamba alipenda kushtaki. Nahisi baada ya kufa kwake mahakama zilipumua.