Aliitwa kichaa kabisa. Leo anaimbiwa mapambio.Mlikuwa mnamuunga mkono?Au ndiyo "kufa usifiwe"?
PAKAInasemekana kuwa ajali ile ilipangwa na mmoja wa viongozi toka nchi za maziwa Makuu kisa kikisemwa ni kumtuhumu Mkuu huyo kuingiza Mamluki Tanzania, Inasemwa kuwa ajali hiyo ilipangwa.....
RIP Rev. Chrisopher MtikilaAsubuhi ya Tarehe 4Th October 2015 zilisambaa taarifa za ajali na Kwamba ajali hio ilichukua uhai wa Mchungaji Christopher Mtikila.
Angekuepo Leo hii tungekua tunaongea mengine kuhusu DP WORLD. Huyu Mzee Alikua Jeshi la MTU mmoja na mshauri Mkuu akiwa Mke wake. Wote waliwahi kufungwa.... alikua na uwezo wa kuandamana peke yake.
Thread 'Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani' TANZIA - Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani
AmenRIP Rev. Chrisopher Mtikila
Wanatuona Manyani tu
Alikuwa transparent cc Pascal Mayalla
shujaa na mtanganyika halisiAsubuhi ya Tarehe 4Th October 2015 zilisambaa taarifa za ajali na Kwamba ajali hio ilichukua uhai wa Mchungaji Christopher Mtikila.
Angekuepo Leo hii tungekua tunaongea mengine kuhusu DP WORLD. Huyu Mzee Alikua Jeshi la MTU mmoja na mshauri Mkuu akiwa Mke wake. Wote waliwahi kufungwa.... alikua na uwezo wa kuandamana peke yake.
Thread 'Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani' TANZIA - Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani
Uchokozi huo sasaAlikuwa transparent cc Pascal Mayalla
Safi sanaAsubuhi ya Tarehe 4Th October 2015 zilisambaa taarifa za ajali na Kwamba ajali hio ilichukua uhai wa Mchungaji Christopher Mtikila.
Angekuepo Leo hii tungekua tunaongea mengine kuhusu DP WORLD. Huyu Mzee Alikua Jeshi la MTU mmoja na mshauri Mkuu akiwa Mke wake. Wote waliwahi kufungwa.... alikua na uwezo wa kuandamana peke yake.
Thread 'Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani' TANZIA - Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani
Mropokaji ndo shujaa? Halafu alikuwa mpigaji. Alikopeshagwa million 9 tu akataka kumdhulumu jamaa akamzungushaa. Jamaa akampeleka mahakamani. Mahakama ikamiamuru amlipe jamaa akaendelea kumzungusha jamaa kumuonyesha madharau na matusi juu. Mahakama ikamuamuamuru apelekwe jela na kumlipa banda ya iyo amri ndio akamlipa.shujaa na mtanganyika halisi
Mdude sasa ndiyo Daudi wako? Ama kweli mumeichoka BibliaHata Goliath aliuwawa na Kijana Mdogo Kwa jiwe
Anaweza kuwa, au unamuonaje? Poor mindedMdude sasa ndiyo Daudi wako? Ama kweli mumeichoka Biblia
Si kweli! Kwenye sita saba na tisa je?MIAKA MINANE sawa na MIAKA MINNE AU MIAKA MITATU
huwezi kusema MIAKA NANE au NNE au MIAKA TATU
TUTUNZE KISWAHILI CHETU
Afadhali umemuweka SAWA! Hawa ndio wanaharibuSi kweli! Kwenye sita saba na tisa je?
Unasema misita? misaba? mitisa?
Alikuwa anacheza double gameR. I. P mwamba, najua ungekwepo moto ungewaka. [emoji24][emoji24][emoji24]
HahahahaahahaAlipohamia mgombea binafsi na alipofungua kesi mahakama ya Afrika Kuna taasisi moja yenye kupenda sofa ikajiunga naye, angekuwepo tungekuwa na wagombea binafsi tukaachana na utapeli wa vyama na Hawa wanaojiita machawa.