Leo asubuhi nimezunguka mitaa kadhaa wilaya ya Temeke, kuna madrasa kila kichochoro

Leo asubuhi nimezunguka mitaa kadhaa wilaya ya Temeke, kuna madrasa kila kichochoro

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kwa uzoefu wangu wilaya ya Temeke ndio inaongoza kwa tabia chafu, miongoni mwa vijana wa Dar es salaam. Vijana wakabaji wako Temeke, wadada wasio na kazi maalumu wako Temeke. Yet madrasa kama utitiri.

Hizi madrasa mbona hazileti impact miongoni mwa jamii ya Temeke (Tandika). Ushoga mwingi sana Temeke na viunga vyake.
Hata mtaa wa mnduku buku uko Temeke. Yaani unapewa nyuma kwa buku tu.

Wazazi wa Temeke hizi madrasa zinasaidia nini ikiwa hao watoto wakikua wanageuka panya road na wadada poa?
 
images (10).jpeg
 
yanayoendelea ndani ya hizo madrasa Mungu aturehemu
 
Kwa uzoefu wangu wilaya ya Temeke ndio inaongoza kwa tabia chafu Muong mwa vijana wa Dar es salaam. Vijana wakabaji wako Temeke, wadada wasio na kazi maalumu wako Temeke. Yet madrasa kama utitiri.

Hizi madrasa mbona hazilet impact miongoni mwa jamii ya Temeke (Tandika). Ushoga mwingi sana Temeke na viunga vyake.

Wazazi wa Temeke hizi madrasa zinasaidia nini ikiwa hao watoto wakikua wanageuka panya road na wadada poa?
Wanawapa maarifa ya mabikra 72 ahera
 
Huko si ndiko wamebaka huyu binti? Shame upon them.
 
Kwa uzoefu wangu wilaya ya Temeke ndio inaongoza kwa tabia chafu Muong mwa vijana wa Dar es salaam. Vijana wakabaji wako Temeke, wadada wasio na kazi maalumu wako Temeke. Yet madrasa kama utitiri.

Hizi madrasa mbona hazilet impact miongoni mwa jamii ya Temeke (Tandika). Ushoga mwingi sana Temeke na viunga vyake.

Wazazi wa Temeke hizi madrasa zinasaidia nini ikiwa hao watoto wakikua wanageuka panya road na wadada poa?

Unapoenda sehemu usitazame mambo negative yanayoendelea katika hilo eneo Ila tazama au tafuta mambo chanya.

Mfano Mimi na wewe nani amekaa mitaa hiyo muda mrefu ??

Issue ya wavuta bangi
Udangaji
Ukabaji
Madrassa kuliko shule

Haya mambo yapo muda tu Ila unachofanya unaelekeza macho yako na masikio kutafuta mambo positive

Temeke wapo watu wengi ambao ni successful.
 
Back
Top Bottom