Leo asubuhi nimezunguka mitaa kadhaa wilaya ya Temeke, kuna madrasa kila kichochoro

Leo asubuhi nimezunguka mitaa kadhaa wilaya ya Temeke, kuna madrasa kila kichochoro

Kwa uzoefu wangu wilaya ya Temeke ndio inaongoza kwa tabia chafu, miongoni mwa vijana wa Dar es salaam. Vijana wakabaji wako Temeke, wadada wasio na kazi maalumu wako Temeke. Yet madrasa kama utitiri.

Hizi madrasa mbona hazileti impact miongoni mwa jamii ya Temeke (Tandika). Ushoga mwingi sana Temeke na viunga vyake.
Hata mtaa wa mnduku buku uko Temeke. Yaani unapewa nyuma kwa buku tu.

Wazazi wa Temeke hizi madrasa zinasaidia nini ikiwa hao watoto wakikua wanageuka panya road na wadada poa?
Imani ni chombo cha dununisha maisha ya watu, kwa kufunga fahamu zao.
Fahamu zikirudi, na muda umekwenda. Wanakuja kugundua kuna majukumu hayakwepeki na hayapatikani bila pesa.
Wanakuja kugundua huwezi nunua sukari kwa kusikiliza mawaidha ya shehe mazinge!
Ngono inakuwa kitegeauchumi pekee cha kutegemea.
Wengine ndio hao wanajazana kwa mwamposa kutafuta uwezo wa kulipa bili za maisha.
 
Kwa uzoefu wangu wilaya ya Temeke ndio inaongoza kwa tabia chafu, miongoni mwa vijana wa Dar es salaam. Vijana wakabaji wako Temeke, wadada wasio na kazi maalumu wako Temeke. Yet madrasa kama utitiri.

Hizi madrasa mbona hazileti impact miongoni mwa jamii ya Temeke (Tandika). Ushoga mwingi sana Temeke na viunga vyake.
Hata mtaa wa mnduku buku uko Temeke. Yaani unapewa nyuma kwa buku tu.

Wazazi wa Temeke hizi madrasa zinasaidia nini ikiwa hao watoto wakikua wanageuka panya road na wadada poa?
Na maendeleo hamna kazi kucheza vigodoro ,kusutana na uvivu
 
Unapoenda sehemu usitazame mambo negative yanayoendelea katika hilo eneo Ila tazama au tafuta mambo chanya.

Mfano Mimi na wewe nani amekaa mitaa hiyo muda mrefu ??

Issue ya wavuta bangi
Udangaji
Ukabaji
Madrassa kuliko shule

Haya mambo yapo muda tu Ila unachofanya unaelekeza macho yako na masikio kutafuta mambo positive

Temeke wapo watu wengi ambao ni successful.
Kwa kiasi kidogo ninakaa wilaya hiyo huwezi kufananisha na wilaya zingine , most of them are un successful kwa kila jambo
 
Mbona Pub zipo kibao acheni unaa.
Yote tisa, kumi madrasa (chuo) wanagonga fimbo watoto ni hatari. 😁
 
Kwa uzoefu wangu wilaya ya Temeke ndio inaongoza kwa tabia chafu, miongoni mwa vijana wa Dar es salaam. Vijana wakabaji wako Temeke, wadada wasio na kazi maalumu wako Temeke. Yet madrasa kama utitiri.

Hizi madrasa mbona hazileti impact miongoni mwa jamii ya Temeke (Tandika). Ushoga mwingi sana Temeke na viunga vyake.
Hata mtaa wa mnduku buku uko Temeke. Yaani unapewa nyuma kwa buku tu.

Wazazi wa Temeke hizi madrasa zinasaidia nini ikiwa hao watoto wakikua wanageuka panya road na wadada poa?
Kwani humo humo madrasa si ndimo wanafundushwa ushoga na kulawitiana mkuu?
 
Wanaofanya uchafu Temeke ni wahamuaji WA Kihaya "Mabwenga". Na wengine wasio na wazazi!

Umewahi kufika Mafiati na Mama John Mbeya?
Kuna makanisa kila baada ya nyumba mbali, vilabu vya pombe chafu kila baada ya nyumba. Hakuna huduma ya kishetani haipatikani hapo!
 
Back
Top Bottom