CCM hakuna mtu anawanyima usingizi kama Lissu. Hata siku ile Lissu anachukua fomu CCM walipata taabu sana. Wanamjua Lissu kuwa si mwepesi wa kukubali ujinga kwa lugha yoyote ile. Wakati ule maridhiano yakiendelea, Lissu aling'amua mapema kuwa kinachoendelea kwenye maridhiano ni danganya toto tu, kitu ambacho Mbowe hakung'amua mapema. Kwa eneo hilo, Lissu aligundua njama mapema zaidi kuliko Mbowe ingawa alipigwa vita.
CCM wanamtaka Mbowe zaidi kwa sababu wanammudu kikamilifu.
Mbowe anaweza kufanya maridhiano na CCM hata miaka 3 mfululizo, kitu ambacho Lissu hawezi kukubali ujinga huo hata kidogo.
Kwa maoni yangu, CCM watampa Mbowe full support ili aweze kushinda uchaguzi huo mwakani.
CCM wanamtaka Mbowe zaidi kwa sababu wanammudu kikamilifu.
Mbowe anaweza kufanya maridhiano na CCM hata miaka 3 mfululizo, kitu ambacho Lissu hawezi kukubali ujinga huo hata kidogo.
Kwa maoni yangu, CCM watampa Mbowe full support ili aweze kushinda uchaguzi huo mwakani.