Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
chelsea kapewa nundu lingine kudadadeki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaalam wa kubet...............Najua Leo watu wengi mmempa nafasi kubwa chelsea kushinda dhidi ya man u game ya Leo ya carabao.Ukiangalia vikosi vyote viwili Chelsea ana kikosi Bora kuliko man u pia hata form yao pia ni nzuri huku man u yupo na alitete.
Kati ya watu waliosema Chelsea atashinda me ni mmoja wapo lakini baada ya kusikia kauli ya lampard kwenye press conference kwamba atachezesha wachezaji wengi ambao hawapo kwenye first eleven yake Kwa maana nyingine wachezaji ambao hawapi nafasi watacheza leo Kama kauli ameongea kwakumaanisha au anatudanganya basi ameonesha hayupo serious na kombe la carabao.
Kutokana na hiyo kauli ya lampard nimebadilisha mawazo yangu naona Chelsea atapigwa na man u leo.
nmechan mkeka wangu kudadadeki chelsea, lich ya kuwapa dbo chanc bdo tu wamechana dah sjalalaNajua Leo watu wengi mmempa nafasi kubwa chelsea kushinda dhidi ya man u game ya Leo ya carabao.Ukiangalia vikosi vyote viwili Chelsea ana kikosi Bora kuliko man u pia hata form yao pia ni nzuri huku man u yupo na alitete.
Kati ya watu waliosema Chelsea atashinda me ni mmoja wapo lakini baada ya kusikia kauli ya lampard kwenye press conference kwamba atachezesha wachezaji wengi ambao hawapo kwenye first eleven yake Kwa maana nyingine wachezaji ambao hawapi nafasi watacheza leo Kama kauli ameongea kwakumaanisha au anatudanganya basi ameonesha hayupo serious na kombe la carabao.
Kutokana na hiyo kauli ya lampard nimebadilisha mawazo yangu naona Chelsea atapigwa na man u leo.
Ni kweli kabisaLeo hiyo Man U gonjwa gonjwa, lazima ikione cha mtema kuni. Chelsea ya Frank Lampard, siyo timu ya mchezo mchezo. Ni mwendo wa kulipa tu kisasi.
Kwahiyo walipopigwa zile 4 kocha alikuwa ni sarri ?Kuna utofauti mkubwa kati ya ile Chelsea ya mvuta sigara Maurizio Sarri na hii ya Frank Lampard.
Ndugu hawa wametokomea kusikojulikanaNyinyi washamba mliokua mnabisha kuwa chelsea halali,mko wapi??