Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,742
- 3,000
punguza wivu mkuuPengine ni Wakala wa Ukimwi pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
punguza wivu mkuuPengine ni Wakala wa Ukimwi pia?
The Rat TrapHabar zenu wakuu.
Leo nmeshangaa sana, mida ya sa11 jioni nilipokea simu kutoka kwa mwanamke nisiemjua, alijieleza vzur nikamkumbuka vzur kua ni alienisajilia lain week moja nyuma.
Tuliongea sana, akaniahidi ipo siku atakuja kwangu kunitembelea, nakumbuka siku ile nilisajili laini na akaniwekea vocha ya 1,000 kwahyo akawa ananidai 2,000
Nikampa 10,000 ili anirudishie 8,000 yangu
Lakini akadai chenchi hana kwakua biashara siku hiyo haikua nzuri, basi nikamwambia asijali hiyo 8,000 anaweza tuu akabaki nayo bila tatizo kwakua namimi nilikua busy nawahi job sikua na mda wa kusubiri akatafute chenchi.
Nqmba yangu anasema aliisave baada ya kunisajilia laini
Hivi na nyie huwaga mnapigiwa simu msalimiwe na wanaowasajilia laini zenu??
Habar zenu wakuu.
Leo nmeshangaa sana, mida ya sa11 jioni nilipokea simu kutoka kwa mwanamke nisiemjua, alijieleza vzur nikamkumbuka vzur kua ni alienisajilia lain week moja nyuma.
Tuliongea sana, akaniahidi ipo siku atakuja kwangu kunitembelea, nakumbuka siku ile nilisajili laini na akaniwekea vocha ya 1,000 kwahyo akawa ananidai 2,000
Nikampa 10,000 ili anirudishie 8,000 yangu
Lakini akadai chenchi hana kwakua biashara siku hiyo haikua nzuri, basi nikamwambia asijali hiyo 8,000 anaweza tuu akabaki nayo bila tatizo kwakua namimi nilikua busy nawahi job sikua na mda wa kusubiri akatafute chenchi.
Nqmba yangu anasema aliisave baada ya kunisajilia laini
Hivi na nyie huwaga mnapigiwa simu msalimiwe na wanaowasajilia laini zenu??
Sasa mkuu si unalimaliza tu kishikaji juu kwa juu mpaka uje kutuomba ridhaaHabar zenu wakuu.
Leo nmeshangaa sana, mida ya sa11 jioni nilipokea simu kutoka kwa mwanamke nisiemjua, alijieleza vzur nikamkumbuka vzur kua ni alienisajilia lain week moja nyuma.
Tuliongea sana, akaniahidi ipo siku atakuja kwangu kunitembelea, nakumbuka siku ile nilisajili laini na akaniwekea vocha ya 1,000 kwahyo akawa ananidai 2,000
Nikampa 10,000 ili anirudishie 8,000 yangu
Lakini akadai chenchi hana kwakua biashara siku hiyo haikua nzuri, basi nikamwambia asijali hiyo 8,000 anaweza tuu akabaki nayo bila tatizo kwakua namimi nilikua busy nawahi job sikua na mda wa kusubiri akatafute chenchi.
Nqmba yangu anasema aliisave baada ya kunisajilia laini
Hivi na nyie huwaga mnapigiwa simu msalimiwe na wanaowasajilia laini zenu??
Halafu anajifanya kushangaa?!Sababu ya msingi ni papuchi.
Unapotoa tip huwa hufikirii kabisa suala la change lakini sio chenji unaitaka, lakini inapokosekana ndipo uite tip!Kuacha tip ni tabia. Unaweza sema hiyo 8.000 ni kama tip ameitoa.
Zamani nilivyokuwa mdogo hata sh 50 nitaisubiria.
Ila siku hizi kuacha tip kumekuwa sehemu yangu ya maisha.
Both team to score!!
8000 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Kwa hiyo umemla kiharasa?Habar zenu wakuu.
Leo nmeshangaa sana, mida ya sa11 jioni nilipokea simu kutoka kwa mwanamke nisiemjua, alijieleza vizuri nikamkumbuka vizuri kua ni alienisajilia lain week moja nyuma.
Tuliongea sana, akaniahidi ipo siku atakuja kwangu kunitembelea, nakumbuka siku ile nilisajili laini na akaniwekea vocha ya 1,000 kwahyo akawa ananidai 2,000
Nikampa 10,000 ili anirudishie 8,000 yangu. Lakini akadai chenchi hana kwakua biashara siku hiyo haikua nzuri, basi nikamwambia asijali hiyo 8,000 anaweza tuu akabaki nayo bila tatizo kwakua namimi nilikua busy nawahi job sikua na mda wa kusubiri akatafute chenchi.
Nqmba yangu anasema aliisave baada ya kunisajilia laini
Hivi na nyie huwaga mnapigiwa simu msalimiwe na wanaowasajilia laini zenu?
Umebeti kwa bk 8?
Anapiga kitu na box halafu anaturingishia?Kabet kwa buku 8 mkeka umetick wa jackpot!