Leo dada aliyenisajilia laini kanipigia simu

The Rat Trap
 

Mkuu una moyo mimi hata jero nalisubiria hata masaa matatu,yaani nikiacha change sehemu roho huwa inaniuma sana
 
Sasa mkuu si unalimaliza tu kishikaji juu kwa juu mpaka uje kutuomba ridhaa
 
Kuacha tip ni tabia. Unaweza sema hiyo 8.000 ni kama tip ameitoa.

Zamani nilivyokuwa mdogo hata sh 50 nitaisubiria.

Ila siku hizi kuacha tip kumekuwa sehemu yangu ya maisha.
Unapotoa tip huwa hufikirii kabisa suala la change lakini sio chenji unaitaka, lakini inapokosekana ndipo uite tip!

And remember, according to mtoa mada, kabla hajaacha hiyo 8K, waliongea sana, na kuahidiwa angetembelewa home... so, assuming alichoongea ni kweli, basi alichokuwa amefanya ni uwekezaji kwa dada msajiri laini!!
 
Wazee wa kubeti wameelewa😂😂
Both team to score!!
8000 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Ulimuachia buku nane, ameona anaweza kuvuna zaidi ya hizo.
 
Ulishaweka chambo ya 8000 bila kujua jiandae kuvua samaki
 
Kwa hiyo umemla kiharasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…