Leo Dejan tunaomba aanzie kucheza

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Lengo ili kumpa muda mrefu wa kucheza na sis watazamaj pamoja na bench la ufund liweze kuona mapungufu take au mazur yake.
Lakin akicheza dakka chache huwa tunashndwa kujua stregh na weakness zake. Leo akianza na akacheza Kama dakka Sabin hiv tutaona mazr na mapungufu yake.
 
NLETE NDHUNGUU, NLETE NDHUNGUU, NLETE NDHUNGUU.... [emoji38]

Kushabikia mpira raha sana kuliko, kujitwisha mizigo ya mawazo ya kujitakia [emoji16]

Maisha matamu ukiwa na nidhamu lakini si kila wakati ukaze fuvu kuwa sirias kifikra maana wakati mwingine ubongo huhitaji kupumzika kwa vituko, matani, furaha [emoji28]
 
Pia Watu wanaingza pesa kupitia Betting
 
Unaleta mchezaji kuja kupewa muda wakati mshindani wako analeta wachezaji ready made.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…