KWELI Simba ndo wenye ligi.
Hata kule kwenye app ya All Football live, hakuna Tena updation ya msimamo wa ligi baada Simba kujikatia tamaa ya ubingwa.
Mpaka Leo msimamo umekomea kwenye michzo 18 kwa Yanga na alama 48 huku Simba ana michezo 17 na alama 37