Leo hakuna NBC premier league live updates?

mjogoro

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
882
Reaction score
652
Au ligi imepoteza mvuto ghafla, maana kimya kabisa. Hadi muda huu hakuna hata uzi maalumu. KWELI Simba ndo wenye ligi
 
Au ligi imepoteza mvuto ghafla, maana kimya kabisa. Hadi muda huu hakuna hata uzi maalumu. KWELI Simba ndo wenye ligi
KWELI Simba ndo wenye ligi.
Hata kule kwenye app ya All Football live, hakuna Tena updation ya msimamo wa ligi baada Simba kujikatia tamaa ya ubingwa.
Mpaka Leo msimamo umekomea kwenye michzo 18 kwa Yanga na alama 48 huku Simba ana michezo 17 na alama 37
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…