Leo hii Lemutuz ni wa kumchunia Makonda kweli?

Leo hii Lemutuz ni wa kumchunia Makonda kweli?

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Enzi hizo Mako yupo kwenye kiti Lemutuz alikuwa mpambe haswaa walikuwa wanaitana marafiki wa kufa na kuzikana mtaani Lemutuz alikuwa anamuita mako Le commandant fidel Marshall [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila tokea mako apigwe chini huezi amini Lemutuz alivyobadili gia angani, yaani now kama hawajuani.
 
Le mutuz ni mzee aliyekosea maisha kuna vitu inabidi mumuelewe tu.

Kula yake inategemea kujipendekeza kwa watu waliofanikiwa.
Kwa umri wa le mutuz na familia aliyotoka kiukweli hakustaili kuwa chawa wa wadogo zake kama kina makonda sijui Amos makala kesho akija mwingine ataunga tela apate mkate wake wa kila siku.
Siku hz page yake anamtukana chuma kinomanoma yule chuma wa kanyaga twende.
Just mueleweni na vijana tujifunze kuutumia wakati vizuri.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Le mutuz ni mzee aliyekosea maisha kuna vitu inabidi mumuelewe tu.

Kula yake inategemea kujipendekeza kwa watu waliofanikiwa.
Kwa umri wa le mutuz na familia aliyotoka kiukweli hakustaili kuwa chawa wa wadogo zake kama kina makonda sijui Amos makala kesho akija mwingine ataunga tela apate mkate wake wa kila siku.
Siku hz page yake anamtukana chuma kinomanoma yule chuma wa kanyaga twende.
Just mueleweni na vijana tujifunze kuutumia wakati vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enzi hizo Mako yupo kwenye kiti Lemutuz alikuwa mpambe haswaa walikuwa wanaitana marafiki wa kufa na kuzikana mtaani Lemutuz alikuwa anamuita mako Le commandant fidel Marshall [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila tokea mako apigwe chini huezi amini Lemutuz alivyobadili gia angani, yaani now kama hawajuani.
Le Commandant Field Marshall Kanyaga twende tumechelewa sana
 
Enzi hizo Mako yupo kwenye kiti Lemutuz alikuwa mpambe haswaa walikuwa wanaitana marafiki wa kufa na kuzikana mtaani Lemutuz alikuwa anamuita mako Le commandant fidel Marshall [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila tokea mako apigwe chini huezi amini Lemutuz alivyobadili gia angani, yaani now kama hawajuani.
Mutu Kitu,,
 
Back
Top Bottom