Leo hii Lemutuz ni wa kumchunia Makonda kweli?

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Enzi hizo Mako yupo kwenye kiti Lemutuz alikuwa mpambe haswaa walikuwa wanaitana marafiki wa kufa na kuzikana mtaani Lemutuz alikuwa anamuita mako Le commandant fidel Marshall [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila tokea mako apigwe chini huezi amini Lemutuz alivyobadili gia angani, yaani now kama hawajuani.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Le Commandant Field Marshall Kanyaga twende tumechelewa sana
 
Mutu Kitu,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…