pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Gas awamu ya kikwete ilifanya usanii wa kutisha nyie acheni tu! hawakutosheka na Escraw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hio pia dakika za mwisho tutaambiwa imeshatekwa na mabeberuYaliletwa mashtaka kwetu wadanganyika kuwa gesi si mali yetu tena, ilishachukulia na mabeberu zile dk za mwisho za lele mama, walopopitisha ule mswaada kwa dharula usiku kwa usiku mjengoni.
Ingawa mshtaki alikuwa miongoni mwao, hakuwa na la kufanya zaidi ya kutii agenda za kikundi.
Na kwakweli, tumeamua kwa dhati, maji yanakuwa mbadala, sitigila inakamilika, mwanga bwelele siku zijazo.
Umeuona mkataba wenyewe au hisia tu?Ndugu ukionyeshwa mkataba wa gesi unaweza kutapika
Wapinzani hasa CHADEMA walikua wanakwamisha mchakato mzima wa gesi ndio maana tumewaengua ili kukamilisha mchakato huoNi miaka isiyopungua tisa sasa toka sakata la uchimbaji wa gesi ya Mtwara lilipoibuka hapa Tanzania. Matumaini yalikuwa makubwa, mbwembwe kibao, nguvu ikatumika na watu kupoteza maisha ili gesi itoke Mtwara.
Kuna kitu mpaka sasa nimeshindwa kukielewa kuhusu gesi ya Mtwara, nacho ni Ukimya. Ukimya ni mkubwa na hakuna kiongozi yoyote wa serikali iliyopo madaraka na iliyopita inayejitokeza kulizungumzia. Na hakuna chombo chochote cha habari kinachotupa updates au kumbukumbu ya gesi ya Mtwara.
Nini kinaendelea kuhusu gesi ya Mtwara?
Hii gesi inapigwa vita sana na makaka wa dunia ndio maana unaona wanamgambo wenye mapanga na marungu wameweza kuteka mradi mzima wa LNG kule msumbiji na hakuna wa kuwatoaTayari makampuni ya uwekezaji yalijiandaa kuwekeza dola bilioni 30 kwenye mradi wa ujenzi wa LNG. Huu ungekuwa mradi mkubwa wa uwekezaji ambao haujawahi kuwepo katika kanda ya Afrika.
Alipoingia Kivuruge, kama kawaida, miradi yote iliyosainiwa na watangulizi wake, akasimamisha kwa madai kuna ufisadi. Kama alivyofanya kwenye SGR. Wenzake walisaini ungejengwa kwa dola dola bilioni 11, yeye mpaka Singida tayari ni bilioni 9. Kufika Mwanza utajengwa kwa dola bilioni ngapi? Na bado anawadanganya wajinga kuwa anapiga vita ufisadi. Wachina aliowakataa, sasa anawapigia magoti.
Wawekezaji wa gas waliamua kuondoka na kwenda kuwekeza Mozambique. Huko wanajenga LNG, ni uwekezaji wa dola bilioni 28, na ni uwekezaji wa pili kwa ukubwa Duniani kwenye sekta ya gas kwa mwaka 2020/2021.
Wameombwa sana kurudi lakini wamekataa. Muda wa karibu kabisa kuweza kufikiria kuwekeza tena Tanzania, wanasema ni baada ya miaka 5.
Kwa hiyo uchumi wa gas umeyeyuka. Nchi tajiri kabisa Duniani kwa kuzingatia wastani wa mapato ni Qatar. Kinachosababisha wawe matajiri hivyo, ni gas. Sheria yetu ya gas kabla ya 2016, ilikuwa ni copy and paste ya Qatar na Norway. Lakini jamaa akasema ni ya kifisadi. Kama Qatar na Norway, sheria hiyo hiyo imewatajirisha, inakuwaje ya kifisadi kwetu?
Kutafuta umaarufu kwa kisiasa kwa mtu mmoja kumeliletea hasara isiyoelezeka Taifa.
Kiongozi atakayefuata atakuwa na kazi kubwa ya kurekebisha mambo mengi ili kuirudisha nchi kwenye uchumi wa kisasa na kistaarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa kweli unataka kujua kinachoendelea kuhusu gesi ya Mtwara nakushauri ukasome bajeti ya wizara ya nishati ya mwaka huu wa fedha. Kuna shughuli zitafanyika mwaka huu na zimetengewa mabilioni ya pesa.Ni miaka isiyopungua tisa sasa toka sakata la uchimbaji wa gesi ya Mtwara lilipoibuka hapa Tanzania. Matumaini yalikuwa makubwa, mbwembwe kibao, nguvu ikatumika na watu kupoteza maisha ili gesi itoke Mtwara.
Kuna kitu mpaka sasa nimeshindwa kukielewa kuhusu gesi ya Mtwara, nacho ni Ukimya. Ukimya ni mkubwa na hakuna kiongozi yoyote wa serikali iliyopo madaraka na iliyopita inayejitokeza kulizungumzia. Na hakuna chombo chochote cha habari kinachotupa updates au kumbukumbu ya gesi ya Mtwara.
Nini kinaendelea kuhusu gesi ya Mtwara?
Mkuu, haja-act kinyonge. Ni ile tu hataki kupiga makelele. Kuna vitu vinaendelea underground. Fanya ukasome bajeti ya wizara ya nishati ya mwaka huu neno kwa neno utaelewa namaanisha nini.Mbona mkataba wa madini kama Barick walifurukuta furukuta kuwakabili mabeberu? Jpm mbona kwenye gesi ana act kinyonge hivi?
mkuu kwa sasa uzalishaji wa gas unaendelea vizuri kwa PROCESSING PLANT ILIYOPO MADIMBA, na ile iliyopo kisiwa cha songosongo mkoani LINDI. Hiyo gas inasafirishwa hadi pale KINYEREZI ambapo inagawanywa kwenda kwenye plants za kuzalisha umeme za TANESCO (UBUNGO, KINYEREZI n.k) pia gas hiyo imepelekwa katika viwanda binafsi kama dangote cement, goodwil ceramics, rodhia steel n.k na mwisho kwa sasa raia wa kawaida wanaendelea kuunganishiwa katika mikoa ya dsm, mtwara na lindi kwa matumizi ya kupikia.Na hakuna chombo chochote cha habari kinachotupa updates au kumbukumbu ya gesi ya Mtwara.
Upload doc yake kama una-acces nayo mkuu.Ikiwa kweli unataka kujua kinachoendelea kuhusu gesi ya Mtwara nakushauri ukasome bajeti ya wizara ya nishati ya mwaka huu wa fedha. Kuna shughuli zitafanyika mwaka huu na zimetengewa mabilioni ya pesa.
Bali ikiwa lengo lako ni kupiga siasa tu hapa ninakushauri uendelee kusubiria updates kutoka kwa wanaharakati wa hapa na pale mitandaoni.
Unaleta majungu mzee siyo,hivi kila kiongozi anashughulikia gesi ya mtwara?Ni miaka isiyopungua tisa sasa toka sakata la uchimbaji wa gesi ya Mtwara lilipoibuka hapa Tanzania. Matumaini yalikuwa makubwa, mbwembwe kibao, nguvu ikatumika na watu kupoteza maisha ili gesi itoke Mtwara.
Kuna kitu mpaka sasa nimeshindwa kukielewa kuhusu gesi ya Mtwara, nacho ni Ukimya. Ukimya ni mkubwa na hakuna kiongozi yoyote wa serikali iliyopo madaraka na iliyopita inayejitokeza kulizungumzia. Na hakuna chombo chochote cha habari kinachotupa updates au kumbukumbu ya gesi ya Mtwara.
Nini kinaendelea kuhusu gesi ya Mtwara?
Kwani wewe unadhani hiyo gesi iliyopo Kinyerezi, DSM, ikituzalishia zaidi ya MW 1,000 za umeme inatoka wapi kama si Mtwara?Ni miaka isiyopungua tisa sasa toka sakata la uchimbaji wa gesi ya Mtwara lilipoibuka hapa Tanzania. Matumaini yalikuwa makubwa, mbwembwe kibao, nguvu ikatumika na watu kupoteza maisha ili gesi itoke Mtwara.
Kuna kitu mpaka sasa nimeshindwa kukielewa kuhusu gesi ya Mtwara, nacho ni Ukimya. Ukimya ni mkubwa na hakuna kiongozi yoyote wa serikali iliyopo madaraka na iliyopita inayejitokeza kulizungumzia. Na hakuna chombo chochote cha habari kinachotupa updates au kumbukumbu ya gesi ya Mtwara.
Nini kinaendelea kuhusu gesi ya Mtwara?
Mkuu, kama hutojali, tuwekee humu. Ukiondoa matatizo yaliyojitokeza, ule mradi uliukuza sana mji wa Mtwara, na kiukweli pamoja na korosho, Mtwara ilitisha na kama ile move ingechukua miaka kama 10 hivi, Mtwara ilikua ni tishio. Tuombe ile miradi irudi tena ili kukuza uchumiMkuu, haja-act kinyonge. Ni ile tu hataki kupiga makelele. Kuna vitu vinaendelea underground. Fanya ukasome bajeti ya wizara ya nishati ya mwaka huu neno kwa neno utaelewa namaanisha nini.
'made in' mirembeWapinzani hasa CHADEMA walikua wanakwamisha mchakato mzima wa gesi ndio maana tumewaengua ili kukamilisha mchakato huo