Leo hii nimeshuhudia upuuzi na upumbavu na ujinga wizara ya elimu!!!!

Leo hii nimeshuhudia upuuzi na upumbavu na ujinga wizara ya elimu!!!!

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
674
Yaani ndugu zangu watanzania yatakamoyo kuisapoti hii wizara, mwenzenu cheti cha form four kimeibiwa, sasa nilipoenda baraza la mitihani wakaniambia nikiatanze kwenye magazetii ya serikali yaani habari leo ama daily news, na nimefanya hivyo kwa kutangaza kwwnye gazeti la habari leo (ambapo nimelipia elfu 20,toleo la tarehe 20 january, nikatoa kopy ya lile tangazo pamoja na los report ya chet changu cha form four, sasa wakanambia chet hawatoi! Mbona uki lost atm card,line za cm, huwa tunapatiwa?
 
Mti Mtu: Tafadhali tujulishe ulisoma shule gani, na ulimaliza mwaka gani ili wadau wakusaidie kufanya mawasiliano na Mkuu wa Shule, ambaye kiutaratibu ana nafasi nzuri ya kuharakisha mchakato.
 
Baraza la mitihani hawatoi cheti mara 2,badala yake unapewa statement of result .
 
Mbona sioni tatizo la wizara hapo mkuu, cheti huwa hakitolewi mara 2, utapewa kiwakilishi cha niaba
 
Transcripts ndiyo muhimu zaidi. Hasa zikitumwa toka NECTA directly.
 
pole. elewa utaratibu kuwa necta hawatoi cheti mara2.
 
MKUU ASANTE KWA KUONESHA KUGUSW NA HILI SWALA LA CHETI CHANGU,
NimeSOMA KATIKA MAZINGIRA MAGUMU SANA, HALAFU CHETI KIMEIBIWA SHULENI
SHULE : VICTORY SEC SCHOOL CENTER
Mwaka : 2006
Candidate no ni P1619/0045



Sasa mpaka hapo Wizara ya Elimuu, unailaumu kwa kosa gani!????
 
Baraza la mitihani hawatoi cheti mara 2,badala yake unapewa statement of result .

Duh,

Shukrani kwa mliotupa somo, hata mimi sikulifahamu hilo.
Inakuwaje sasa kwa anayetaka kwenda kusoma nje ya nchi?
Kuna vyuo havikubali statement of results, kimojawapo ni hapa nilipo mimi.
Wanataka Cheti (Certificate) hakuna longolongo.
Transcript, statement of results wanaihitaji kama kiambatanishi (attachment) inayosindikiza Cheti!!!
Majanga...
 
Baraza la mitihani hawatoi cheti mara 2,badala yake unapewa statement of result .

WAMEKATAA KUNIPA NA WAMENIAMBIA KUWA "STATEMENT OF RESULTS ITATUMWA KWA MAMLAKA AU TAASISI KAMA VILE CHUO,MWAJILI AMA SHULE INAYOITAJI HIYO STATEMENT OF RESULS" YAANI AM VERY DISAPPOINTED MKUU! sasa NAJIULIZA KAMA NIMELIPIA GHARAMA ZOTE KWANZIA MATANGAZO KWENYE MAGAZETI YA GVT THEN SIPATI STATEMENT OF RESULTS MKONONI NA WAMENIAMBIA ETI NI UTARATIBU UNAOTUMIKA
 
Duh,

Shukrani kwa mliotupa somo, hata mimi sikulifahamu hilo.
Inakuwaje sasa kwa anayetaka kwenda kusoma nje ya nchi?
Kuna vyuo havikubali statement of results, kimojawapo ni hapa nilipo mimi.
Wanataka Cheti (Certificate) hakuna longolongo.
Transcript, statement of results wanaihitaji kama kiambatanishi (attachment) inayosindikiza Cheti!!!
Majanga...

YAANI WAMENIBOA SANA HAWA JAMAAA!Eti HAWATOI MIKONONI KWA MTAHINIWA BALI WANATUMA KWA MAMLAKA INAYOTAKA HICHO CHETI ,
 
YAANI WAMENIBOA SANA HAWA JAMAAA!Eti HAWATOI MIKONONI KWA MTAHINIWA BALI WANATUMA KWA MAMLAKA INAYOTAKA HICHO CHETI ,

Pole sana mkuu!
Wizara ya Kawambwa na Mulugo/Mhagama... tutaona mengi yasiyo na tija!
Acha wenye uwezo wa kukusaidia wafanye hivyo, niliikimbia hiyo Wizara miaka mingi kwa hiyo siwezi kukupa ushauri zaidi.
Kila la heri!
 
Sasa mpaka hapo Wizara ya Elimuu, unailaumu kwa kosa gani!????

MWANA WALINIAMBI NIFANYE PROCES KAMA KUTANGAZA KWENY GVT MAS MIDIA ILI WANIPE HIYO STATEMENT OF RESULTS! Sasa WAMENIAMBIA HAWATOI KWA MTAHINIWA BALI WANATUMA KWA MAMLAKA INAYOTAKA STATEMENT OF RESULTS, MKUU HUONI KAMA HUU NI USUMBUFU? Wameniambi KILA MAMLAKA NITAKAYO ENDA NILAZIMA NILIPIE KADRI NITAKAVYO HIYO STMNT OF RESULTS! Mkuu MIMI NAONA WAMEGEUZA KAMA MRADI TU HAWA JAMAA
 
mbona sioni tatizo la wizara hapo mkuu, cheti huwa hakitolewi mara 2, utapewa kiwakilishi cha niaba

mkuu wangenipa ingekuw bora zaidi, sasa wao wameanza na utaratibu wa kutotoa mikononi mwa mtahiniwa bali wanaituma kwa mamlaka inayotaka hicho kiwakilishi, kwa hiyo ntakuwa nalipia kila mara ninapofanya application
 
mkuu wangenipa ingekuw bora zaidi, sasa wao wameanza na utaratibu wa kutotoa mikononi mwa mtahiniwa bali wanaituma kwa mamlaka inayotaka hicho kiwakilishi, kwa hiyo ntakuwa nalipia kila mara ninapofanya application

fanya mtihani kama p.candtte upate cheti kingine
 
Pole sana mkuu ingawa sina cha kukushauri ila lazima ujue hii wizara madangi matupu jitahidi kadri uwezavyo
 
Back
Top Bottom