Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu cha namna hiyo elewa.Ni swali la kufikirika tu kutest IQ zetu !
Usikute nashinda na mtu anayeamini hawa manabii wa kibongo ee. Embu nipisheKwa binadamu hakuna sawa? Vipi kuhusu viumbe wa roho ,hawawezi kujua historia ya maisha yako na yajayo?
Kama haitoshi vipi kuhusu Mungu muumba?
Toa picha ya Einstein kwanza hapo!!Je, hilo swali ungejibuje?
Mimi kwangu kwanza maisha yangekuwa ya maana sana. Ningeishi kitakatifu zaidi.
Wekeni majibu yenu tusome!
Jibu zuri ndugu.Nitafanya kosa lile lile ambalo hata kwenye movie wanafanya, kujaribu kukusanya mali za kutosha kama nikiondoka familia iweze ku survive, kuliko kuwa karibu na familia
ndio maana umebadili hadi ID ili usijulikane kwa ujinga unaowaza.Kwa jinsi unavyojibu tu ,inaonekana ni punguani.
Kifo ni daraja, hatutakiwi kuliogopa Bali kulitarajiaJe, hilo swali ungejibuje?
Mimi kwangu kwanza maisha yangekuwa ya maana sana. Ningeishi kitakatifu zaidi.
Wekeni majibu yenu tusome!