proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
IQ kubwa ipi uliyopo unaandika ujinga?Hilo swali si la kidini .
Ni swali la kufikirika tu.
Unahitaji kuwa na IQ KUBWA ndio Utaweza kujibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IQ kubwa ipi uliyopo unaandika ujinga?Hilo swali si la kidini .
Ni swali la kufikirika tu.
Unahitaji kuwa na IQ KUBWA ndio Utaweza kujibu.
Hakika ninayo, Ila mwalimu wangu Mshana Jr ana maarifa kuliko Mimi.Hakika Kifo ni daraja! Lazima Kila mtu apite kulivuka.
Una maarifa zaidi kuhusu kifo ndugu?
Hilo daraja lipoje? Kwanini halitakiwi kuogopwa?Kifo ni daraja, hatutakiwi kuliogopa Bali kulitarajia
Hilo daraja lipoje? Kwanini halitakiwi kuogop
Hilo sio daraja ni mtego aisee!Hilo daraja lipoje? Kwanini halitakiwi kuogopwa?
View attachment 3196749
Mkuu, unaeleweka hata usipotaja kuto#@ kwa kizungu.unafikiri watu kinawatisha muda wa kufa..?
watu wanatishika na wakifa wanaenda wapi!, na ndio dini zilipowashika watu zinajua tukiwaambia kuna pepo mtapenda na mkiambiwa kuna moto mtaogopa!.. pia ndio maana watu wanajua vitu fulani vinaleta madhara lakini bado wanavitumia na wanajua hatari inayoweza kuleta ni kifo!, ila hawaogopi sasa waambie na wapate hakika kuwa wakifa wataenda pazuri ama pabaya hapo ndo kinaumana!.
ila wacha niwaambie ukweli mchungu!, kufa ni sawasawa na ambavyo ulikuwa kabla ya kuzaliwa! uoga ulionao juu ya kifo nikwasababu nature inakutaka uwe hivyo ili iendelee kuhakikisha kuwa uhai unakuwepo!.
Wachache wanaojua siri ya jinsi ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi kifikra na hisia ndio wanatumia nafasi hiyo kufaidika na aidha upuuzi wako ama hisia zako!.
Don't fu cking tell me God can only speak to the others and not you!, don't blind your fu cking mind open your eyes kenge kabisa.
Shukrani kwa maelezo yako.unafikiri watu kinawatisha muda wa kufa..?
watu wanatishika na wakifa wanaenda wapi!, na ndio dini zilipowashika watu zinajua tukiwaambia kuna pepo mtapenda na mkiambiwa kuna moto mtaogopa!.. pia ndio maana watu wanajua vitu fulani vinaleta madhara lakini bado wanavitumia na wanajua hatari inayoweza kuleta ni kifo!, ila hawaogopi sasa waambie na wapate hakika kuwa wakifa wataenda pazuri ama pabaya hapo ndo kinaumana!.
ila wacha niwaambie ukweli mchungu!, kufa ni sawasawa na ambavyo ulikuwa kabla ya kuzaliwa! uoga ulionao juu ya kifo nikwasababu nature inakutaka uwe hivyo ili iendelee kuhakikisha kuwa uhai unakuwepo!.
Wachache wanaojua siri ya jinsi ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi kifikra na hisia ndio wanatumia nafasi hiyo kufaidika na aidha upuuzi wako ama hisia zako!.
Don't fu cking tell me God can only speak to the others and not you!, don't blind your fu cking mind open your eyes kenge kabisa.
Utakula tusi nimegadhabika sana unaliza swali ambalo jibu lipo kwenye komenti unanitafutia ban!Mkuu, unaeleweka hata usipotaja kuto#@ kwa kizungu.
Sasa nina swali, kabla hujazaliwa inamaana hukuwepo popote pale si ndio?
Basi mkuu, endelea kushusha nondo, hakuna haja ya ban.Utakula tusi nimegadhabika sana unaliza swali ambalo jibu lipo kwenye komenti unanitafutia ban!
kilichobaki sasa ni kushusha nondo za kwenye vichwa kwa vile vichwa vijinga vijinga labda vitaelewa vikipata maumivu ya kichwa!Basi mkuu, endelea kushusha nondo, hakuna haja ya ban.
Ok mkuukilichobaki sasa ni kushusha nondo za kwenye vichwa kwa vile vichwa vijinga vijinga labda vitaelewa vikipata maumivu ya kichwa!