Leo hii ukiifahamu tarehe yako ya kufa, je utaanza kuishi maisha ya aina gani?

Leo hii ukiifahamu tarehe yako ya kufa, je utaanza kuishi maisha ya aina gani?

Kifo ni daraja, hatutakiwi kuliogopa Bali kulitarajia
Hilo daraja lipoje? Kwanini halitakiwi kuogopwa?
images - 2025-01-09T175150.283.jpeg
 
unafikiri watu kinawatisha muda wa kufa..?
watu wanatishika na wakifa wanaenda wapi!, na ndio dini zilipowashika watu zinajua tukiwaambia kuna pepo mtapenda na mkiambiwa kuna moto mtaogopa!.. pia ndio maana watu wanajua vitu fulani vinaleta madhara lakini bado wanavitumia na wanajua hatari inayoweza kuleta ni kifo!, ila hawaogopi sasa waambie na wapate hakika kuwa wakifa wataenda pazuri ama pabaya hapo ndo kinaumana!.

ila wacha niwaambie ukweli mchungu!, kufa ni sawasawa na ambavyo ulikuwa kabla ya kuzaliwa! uoga ulionao juu ya kifo nikwasababu nature inakutaka uwe hivyo ili iendelee kuhakikisha kuwa uhai unakuwepo!.
Wachache wanaojua siri ya jinsi ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi kifikra na hisia ndio wanatumia nafasi hiyo kufaidika na aidha upuuzi wako ama hisia zako!.

Don't fu cking tell me God can only speak to the others and not you!, don't blind your fu cking mind open your eyes kenge kabisa.
 
unafikiri watu kinawatisha muda wa kufa..?
watu wanatishika na wakifa wanaenda wapi!, na ndio dini zilipowashika watu zinajua tukiwaambia kuna pepo mtapenda na mkiambiwa kuna moto mtaogopa!.. pia ndio maana watu wanajua vitu fulani vinaleta madhara lakini bado wanavitumia na wanajua hatari inayoweza kuleta ni kifo!, ila hawaogopi sasa waambie na wapate hakika kuwa wakifa wataenda pazuri ama pabaya hapo ndo kinaumana!.

ila wacha niwaambie ukweli mchungu!, kufa ni sawasawa na ambavyo ulikuwa kabla ya kuzaliwa! uoga ulionao juu ya kifo nikwasababu nature inakutaka uwe hivyo ili iendelee kuhakikisha kuwa uhai unakuwepo!.
Wachache wanaojua siri ya jinsi ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi kifikra na hisia ndio wanatumia nafasi hiyo kufaidika na aidha upuuzi wako ama hisia zako!.

Don't fu cking tell me God can only speak to the others and not you!, don't blind your fu cking mind open your eyes kenge kabisa.
Mkuu, unaeleweka hata usipotaja kuto#@ kwa kizungu.
Sasa nina swali, kabla hujazaliwa inamaana hukuwepo popote pale si ndio?
 
unafikiri watu kinawatisha muda wa kufa..?
watu wanatishika na wakifa wanaenda wapi!, na ndio dini zilipowashika watu zinajua tukiwaambia kuna pepo mtapenda na mkiambiwa kuna moto mtaogopa!.. pia ndio maana watu wanajua vitu fulani vinaleta madhara lakini bado wanavitumia na wanajua hatari inayoweza kuleta ni kifo!, ila hawaogopi sasa waambie na wapate hakika kuwa wakifa wataenda pazuri ama pabaya hapo ndo kinaumana!.

ila wacha niwaambie ukweli mchungu!, kufa ni sawasawa na ambavyo ulikuwa kabla ya kuzaliwa! uoga ulionao juu ya kifo nikwasababu nature inakutaka uwe hivyo ili iendelee kuhakikisha kuwa uhai unakuwepo!.
Wachache wanaojua siri ya jinsi ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi kifikra na hisia ndio wanatumia nafasi hiyo kufaidika na aidha upuuzi wako ama hisia zako!.

Don't fu cking tell me God can only speak to the others and not you!, don't blind your fu cking mind open your eyes kenge kabisa.
Shukrani kwa maelezo yako.
Umefafanua vizuri.
Hakika tuishi kwa amani bila kuogopa kufa.
 
Back
Top Bottom