Leo hii Wema Sepetu wa kumuita Makonda "Le Brother"?

Ya Caesar. Muachie Caesar [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Wema ni msanii, msanii kazi yake ni sanaa. Sanaa ni maigizo.

Mimi nilishangaa zaidi pale professional lawyer alipogeuza maneno kusema eti EL hakuwa fisadi bali mfumo ndo chanzo.
Yaani Nchi hii imejaa Drama, kuanzia ikulu mpaka uswazi. Yaani Mungu asaidie tu
 
Hivi huyu aliyevaa brouze inayoonyesha maungo yake ya ndani na sidiria kwa ndani ndio bashite??
 
Siku mbu akitua kwenye korodani ndio utajua sio lazima kutumia nguvu kumuondoa,binti kashikwa sehemu sahihi kabisa na kanyooka [emoji23][emoji23]
 
Sweethearts wa nchi yeyote, wanaenda sambamba na thinking capacity ya watu wake.
 
"If you cant fight them,join them" labda wema anatumia msemo huu
 
Ogopa mwanamke!hasa akichukizwa na mpenzi wake,hata house boy huwa bora siku hiyo.
 
Mwanamke akishakuwa hana msimamo katika maisha yake ya kimahusiano yani akiwa Kicheche hawezi kuwa na msimamo hata katika maisha yake binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…