Kama umeoa bila kwa kumforce bass yaheee waliwaUsimuamini mtu anaitwa mwanamke
si ajabu hata mkeo anakucheat hujui
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku mbu akitua kwenye korodani ndio utajua sio lazima kutumia nguvu kumuondoa,binti kashikwa sehemu sahihi kabisa na kanyooka [emoji23][emoji23]
Amesifiwa na wajinga labda. Hajawahi kupambana na madawa sana sana alimevuruga vita ya madawa ya kulevya. Watuhumiwa wake karibu wote sasa ni marafiki wake wakubwa. Nadhani alitaka wamwabudu!Heshima kuu RC Makonda.
Umesifiwa nakupewa kila aina ya jina kwa kujitokeza na kutangaza ya kuwa unapambana na madawa ya kulevya.
Leo umepiga picha ukiwa na mtuhumiwa wa madawa ya kulevya na ambaye kesi bado iko mahakamani.
Tukueleweje???
imekuumaHeshima kuu RC Makonda.
Umesifiwa nakupewa kila aina ya jina kwa kujitokeza na kutangaza ya kuwa unapambana na madawa ya kulevya.
Leo umepiga picha ukiwa na mtuhumiwa wa madawa ya kulevya na ambaye kesi bado iko mahakamani.
Tukueleweje???
Acha maneno... weka picha kwanza ndo tuchangie