Kumbe unalo jibu!Mayai ni lipi la maana kalifanya au kwa vile alichezea Yanga na timu ya Taifa?
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mtemi RamadhanAlly Mayai Tembele
Huu uchaguzi naufananisha na ule uliomuondoa babu Hayatou licha ya umafia wakeMalinzi anamuhofia Athumani Nyamlani sio hao. Vita ilishaandaliwa na kupiganwa miaka miwili nyuma hapa ni kuenda kupandisha bendera.
Mpira una fitina sio kama watu wanavyojua. Kampeni zilishaanza kwenye chaguzi za mikoa na ndio maana migogoro mingi ilikuwepo kwenye chaguzi mikoani.
Hao wanajaribu kupaka upepo rangi.Tanzania huwezi shindwa ilihari unagombea jkiwa kwenye systeam!! NEVER!
Tenga na wengineo waliocheza mpira then wakawa viongozi walileta mafanikio gani tofauti na Malinzi?
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Malinzi Out....haiwezekani mchezaji mwenye kiwango cha hali ya juu kama Nyosso alipewa adhabu ya uonevu
Wewe utabeba mimba ya Mayai au Nyamlani?Wewe kama kabla ya Uchaguzi Mkuu wa TFF mwezi Agosti hujabeba Mimba ya JM mimi sijui! Siyo kwa Mahaba haya.
Wapambe wenyewe ndio wale wakina Julio na kundi njaa lake?ni mwepesi kama tissue paperAlly Mayai labda wamfanyie umafia, sioni wa kumzuia!!
Duh! Julio?? Basi tena!Wapambe wenyewe ndio wale wakina Julio na kundi njaa lake?ni mwepesi kama tissue paper
[emoji23] [emoji23] [emoji97] [emoji97] nachikia ni ntu na nkwewe hao.Hata akigombea Zitto,Malinzi lazima atetee kiti chake kwa kishindo.
Mkuu barafuyamoto unadhani hili swala ni utani au haujaangalia taarifa za michezo kwenye TV?yaani ungeangalia ungejisikia kichefuchefu sana na ndio maana sisi wengune tunaona màra elfu kumi Malinzi amalizie awamu yake ya pili kuliko huu upupu na njaa unaotaka kuingia pale TFF maana pale patageuka solo na kijiwe na story,kahawa na udalali.Duh! Julio?? Basi tena!
Mayai ni lipi la maana kalifanya au kwa vile alichezea Yanga na timu ya Taifa?
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Malinzi daima mpaka achoke mwenyewe,uzuri kura hapigi kila mtu ,tunapiga wachache na hapo TFF kuna empire ambayo ili uivunje inabidi ulete,MI 15 au 16,FBI,BOSS au KGB.Malinziii Bukoba mpaka Karumeeee.
Kwa hiyo kwa akili zako timamu unataka kuniambia Serikali ipo upande wa akina Mayay?Nakumbuka uchaguzi wa kwanza uliomuengua Mzee Ndolanga na kumuweka Tenga madarakani! Serikali ikiamua jambo lake na kulisimamia haishindwi kirahisi! Siamini kama serikali itakuwa na Malinzi