HongeraMimi ndio nimetoka mahabusu/remande nitaenda church jioni
Ekaristi Takatifu unapokelea wapi kama kanisa ni wewe ?Huu uzi umenigusa moja kwa moja.
Mara ya mwisho kwenda kanisani ilikua jumapili baada ya kupata Kipaimara, kisha nikaenda mara moja nikiwa form six. Halafu sijaenda mpaka sasa hivi ninapoukuta huu uzi.
Anyway katika mafunzo yangu ya kipaimara niliambiwa kanisa ni mimi siyo jengo, hivyo naweza kusali popote
Yesu aliwapa watu mkate wapi?Ekaristi Takatifu unapokelea wapi kama kanisa ni wewe ?
sio utetezi,hukujua kesho kuna ibada ukanywa kwa kiasi?Nimeamka na hangover mbaya [emoji3]
OkYesu aliwapa watu mkate wapi?
Mgonjwa ambaye hawezi kunyanyuka hua anapelekwa kanisani au anafuatwa hospitali?
Hospitali ni kanisa?
Jengo la Mama Rwakatare tukitoa ile misalaba na kuweka vitanda vya wagonjwa utaita kanisa?
Ya mungu mengi mkuu sometimes tutikaa mahabusu inakuwa kheri tunapitwa na rupture za uraianiHongera
Ulifanya kosa lipi au ulisingiziwa ?
Pole sanaYa mungu mengi mkuu sometimes tutikaa mahabusu inakuwa kheri tunapitwa na rupture za uraiani
Asante kwa kunielewa.Ok
Na wewe ni mgonjwa?
Asante sanaPole sana
Sasa huyo mwenye hangover ajue tu kwa Mungu hakuna chibuku wala eagle au senator!Ujumbe wa leo kutoka kwenye somo la injili.
Mpe ya kaisari yaliyo ya kaisari, Na mpe MUNGU vilivyo vyake MUNGU.
Leo j.pili watu hawatolewi Mpaka j tatuHongera
Ulifanya kosa lipi au ulisingiziwa ?