Jamani kama mnavyojua kuwa Leo ni siku ya kwenda kuabudu kwa wakristo wa madhehebu yaliyo mengi. Lakini najua tupo ambao hatujaenda. Kama hujaenfa, kwa nini hujaenda church Leo?
Mimi niwe mkweli ni kuwa sijaenda kanisani Nina kama miezi mitatu hivi na sina sababu ya msingi sana, labda Ni baada ya kuona viongozi wa dini wamekuwa waswahili sana.
Mimi niwe mkweli ni kuwa sijaenda kanisani Nina kama miezi mitatu hivi na sina sababu ya msingi sana, labda Ni baada ya kuona viongozi wa dini wamekuwa waswahili sana.