GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Pia usije ukausahau ule wimbo wa saida karoli unaosema ''mwenye wivu na ajinyonge'' kuanzia iyo saa kumi jioniMsemo.....
"Mtoto akililia Wembe mpe umkate vizuri ili akome na Siku zingine awe na Adabu"
Wimbo.....
"Usimchezee Chatu ooooh Chatu Weeeee....Usimchezee Chatu ooooh Chatu Weeeee...."
Na hasa hasa kuanzia Saa 10 Kamili hadi Saa 12 Kamili Jioni ndiyo GENTAMYCINE nitakuwa makini Kuusema huo Msemo na Kuuimba huo Wimbo.
🤣🤣🤣🤣huyu Genta ukifunua kichwa chake utakuta NZI tu.Pia usije ukausahau ule wimbo wa saida karoli unaosema ''mwenye wivu na ajinyonge'' kuanzia iyo saa kumi jioni
Na kuna ule wa dua la kukuPia usije ukausahau ule wimbo wa saida karoli unaosema ''mwenye wivu na ajinyonge'' kuanzia iyo saa kumi jioni
Nzi mbona afadhali..!! Utakikuta anachokula nzi🤣🤣🤣🤣huyu Genta ukifunua kichwa chake utakuta NZI tu.
Mkuu umeua kabisa yaani Nimecheka mpaka basi. Eti utakuta kile anachokila Nzi.Nzi mbona afadhali..!! Utakikuta anachokula nzi
🤣🤣😏😏Nzi mbona afadhali..!! Utakikuta anachokula nzi