Leo imetimia miaka 10 tangu Johnthebaptist Niwe Mwanachama wa Jamii Forums, Ukipunguza Makasiriko utaipenda JF na Utadumu nayo!

Leo imetimia miaka 10 tangu Johnthebaptist Niwe Mwanachama wa Jamii Forums, Ukipunguza Makasiriko utaipenda JF na Utadumu nayo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Niwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli

JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali

Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu

Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma

Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame 😂

Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen

Mlale Unono 😄😄
 
Ongera mkuu, mimi september 25 mwaka huu ndio nafikisha miaka kumi pia,,
Kwa muda woote uo nilikuwa nimejikita kwenye jukwaa la jamii intelijensi, dini(lilifutwa), kilimo, biashara, ila siku hizi za karibuni niko naenjoy MMU, na hoja mchanganyiko... Jf ni tamu sana
 
Niwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli

JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali

Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu

Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma

Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame 😂

Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen

Mlale Unono 😄😄
Hongera na Asante sana Mkuu
 
Niwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli

JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali

Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu

Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma

Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame 😂

Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen

Mlale Unono 😄😄
Hongera sana brother from another mother
 
Niwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli

JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali

Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu

Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma

Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame 😂

Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen

Mlale Unono 😄😄
Ongera.

Mimi nimejiunga jf 25.08.2012 ikifika 25.08.2024 nitakuwa nimetumiza miaka 12 hapa jf
 
Niwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli

JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali

Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu

Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma

Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame 😂

Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen

Mlale Unono 😄😄
Leo ni ulanzi tu Hapy birthday Yusufu
 
Niwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli

JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali

Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu

Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma

Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame 😂

Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen

Mlale Unono 😄😄
Poa poa Mstaafu Jo😅.Ungekuwa unapanda juu ya meza ningekukaribisha tugonge Gilasi😂
 
Back
Top Bottom