Leo imetimia miaka 10 tangu Johnthebaptist Niwe Mwanachama wa Jamii Forums, Ukipunguza Makasiriko utaipenda JF na Utadumu nayo!

Ongera.

Mimi nimejiunga jf 25.08.2012 ikifika 25.08.2024 nitakuwa nimetumiza miaka 12 hapa jf
It's shameful for a 12 year JF veteran member to write ongera instead of "hongera".
 
Kumbe ni "mkongwe"πŸ˜ƒ

Hongera! 2014 ndiyo nilipata taarifa ya uwepo wa JF, nikawa naingia kama msomaji tu mpaka mwaka Jana nilipoamua kujiunga.
 
πŸ™
 
Hongera sana tulijiunga mwaka mmoja, Alhamdulilah tunadunda mpaka Leo...
 
John the Baptist pambaluπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜…πŸ˜…

Happy 10 years anniversary to youπŸ––
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…