It's shameful for a 12 year JF veteran member to write ongera instead of "hongera".Ongera.
Mimi nimejiunga jf 25.08.2012 ikifika 25.08.2024 nitakuwa nimetumiza miaka 12 hapa jf
Kumbe ni "mkongwe"πNiwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli
JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali
Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu
Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma
Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame π
Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen
Mlale Unono ππ
πNiwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli
JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali
Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu
Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma
Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame π
Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen
Mlale Unono ππ
Hongera sana tulijiunga mwaka mmoja, Alhamdulilah tunadunda mpaka Leo...Niwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli
JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali
Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu
Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma
Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame π
Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen
Mlale Unono ππ
John the Baptist pambaluπππ πNiwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli
JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako kupitia Majukwaa mbalimbali
Usisahau Watu Wote muhimu wa Nchi hii katika Nyanja zote wamo humu
Niwashukuru sana rafiki zangu Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Ras Mtimanyongo na Dr Akandunduma
Kipekee Kabisa ni kwako Bwashee Retired ukiwa Ufipa st lakini kwa sasa unapalilia Jimbo Machame π
Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amen
Mlale Unono ππ