Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Azam unawaonaje, mbona hapo hujawalistWakuu Tunakumbushana Tu kwa Wema.
.
Leo inaitwa SUPER SUNDAY [emoji3593]
(1 ) > Simba vs De Agosto
Saa 10;00 jioni
(2) > Real Madrid vs Barcelona
Saa 11:15 jioni
(3)> Man city vs Liverpool
Saa 12;30 jioni
(4)> Al HILAL vs Yanga
Saa 3:00 usiku
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mbona yanga nao wanaenda kukamilisha ratiba na umewaweka acha upendeleo ilete azammmmm...Azam FC ni ya kukamilisha Ratiba .... Ndio maana sijaitaja kwenye list
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
MBUMBUMBU KULOWEKWA TATU BILA.Yanga kukung'utwa 2 - 0.
Sio kweli. Hapo ni usimba na uyanga tu ndio umekuongoza. Matokeo hayo hayo ya Azam Ila ingekuwa simba au yanga hiyo mechi ungeitaja...anyway Azam ana % kubwa ya kupindua meza kuliko uto , Kwa hiyo itakuwa mechi nzuri tu.Azam FC ni ya kukamilisha Ratiba .... Ndio maana sijaitaja kwenye list
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha kujidhalilisha. Hata wenzako wakisoma hiki ulichoandika hapa, watakudharau na kukuona wewe ni bumunda, au tikiti maji.CAF na Karia wana hujuma na Yanga,kwanini mechi ya kwanza wameweka ya Simba saa kumi jioni alafu Yanga yetu saa tatu usiku?,huku ni kupanga matokeo.Yanga tukifungwa na Al hilal Simba nao wakishinda tunaenda kumuona Rais,Yanga tunaonewa na kunyanyaswa sana.
Mungu mbariki mzee Mpili na Mandonga[emoji120]
PSG v/s Marseille saa 3:45Wakuu Tunakumbushana Tu kwa Wema.
.
Leo inaitwa SUPER SUNDAY [emoji3593]
(1 ) > Simba vs De Agosto
Saa 10;00 jioni
(2) > Real Madrid vs Barcelona
Saa 11:15 jioni
(3)> Man city vs Liverpool
Saa 12;30 jioni
(4)> Al HILAL vs Yanga
Saa 3:00 usiku
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Pia kumbuka leo India Premier leagueUmesahau Leeds vs Arsenal.
10:00 jioni.
Saa 10:00 jioni leo Somalia premier league kuna bonge la mechi siyo ya kukosa kuangaliaLeo kutamu sana kwa wapenda soka