Leo inaitwa "Super Sunday"

Leo inaitwa "Super Sunday"

Wakuu Tunakumbushana Tu kwa Wema.
.
Leo inaitwa SUPER SUNDAY [emoji3593]

(1 ) > Simba vs De Agosto
Saa 10;00 jioni

(2) > Real Madrid vs Barcelona
Saa 11:15 jioni

(3)> Man city vs Liverpool
Saa 12;30 jioni

(4)> Al HILAL vs Yanga
Saa 3:00 usiku

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Azam unawaonaje, mbona hapo hujawalist
 
CAF na Karia wana hujuma na Yanga,kwanini mechi ya kwanza wameweka ya Simba saa kumi jioni alafu Yanga yetu saa tatu usiku?,huku ni kupanga matokeo.Yanga tukifungwa na Al hilal Simba nao wakishinda tunaenda kumuona Rais,Yanga tunaonewa na kunyanyaswa sana.

Mungu mbariki mzee Mpili na Mandonga[emoji120]
 
Azam FC ni ya kukamilisha Ratiba .... Ndio maana sijaitaja kwenye list

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio kweli. Hapo ni usimba na uyanga tu ndio umekuongoza. Matokeo hayo hayo ya Azam Ila ingekuwa simba au yanga hiyo mechi ungeitaja...anyway Azam ana % kubwa ya kupindua meza kuliko uto , Kwa hiyo itakuwa mechi nzuri tu.
 
Umesahau Leeds vs Arsenal.

10:00 jioni.
 
CAF na Karia wana hujuma na Yanga,kwanini mechi ya kwanza wameweka ya Simba saa kumi jioni alafu Yanga yetu saa tatu usiku?,huku ni kupanga matokeo.Yanga tukifungwa na Al hilal Simba nao wakishinda tunaenda kumuona Rais,Yanga tunaonewa na kunyanyaswa sana.

Mungu mbariki mzee Mpili na Mandonga[emoji120]
Acha kujidhalilisha. Hata wenzako wakisoma hiki ulichoandika hapa, watakudharau na kukuona wewe ni bumunda, au tikiti maji.
 
Nawaonea huruma Xavi na klopp leo vibarua vyao vitaota mbawa.

Van daik leo atapelekeshwa na Halaand.
 
Wakuu Tunakumbushana Tu kwa Wema.
.
Leo inaitwa SUPER SUNDAY [emoji3593]

(1 ) > Simba vs De Agosto
Saa 10;00 jioni

(2) > Real Madrid vs Barcelona
Saa 11:15 jioni

(3)> Man city vs Liverpool
Saa 12;30 jioni

(4)> Al HILAL vs Yanga
Saa 3:00 usiku

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
PSG v/s Marseille saa 3:45
 
Arsenal vs Leeds
Saa 10.00 jioni...
Bangladesh premier league
Abahani limited Dhaka vs sheikh jamal Dhanmondi Club

10:00 jioni​

Sheikh_Jamal_Dhanmondi_Club.jpg
 
Back
Top Bottom