Leo Karia una mtihani lakini Mambo mengine unajitakia

Wallace Karia ni rais mjinga sana kuwahi kutokea pale TFF. Huwa hawezi kabisa kutofautisha kati ya uongozi wa taasisi kama TFF, na mahaba yake kwa simba na Coastal Union!

Haishangazi kuona anadharauliwa na kuto kuaminiwa na klabu kama Yanga..
 
Karia atakuwepo km kuwa karibu na boss wake. Km vipi yeye asiwepo ila motsepe awepo.

Sio shida zetu hizo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mkuu mbona ulishajibu mwenyewe Kama hakualikwa ulitaka ajipeleke kingne nyie mumepeleka mwana siasa kinana kwenye shughuli sisi tumeleta mtu wa mpira mnalalamika Nini Sasa hapo???
 
Na juzi alishatoa sababu kabla ya tamasha la yanga alipohojiwa TBC alisema wanaandaa mapokezi ya wageni arusha kwa ajili ya mkutano ila mshazoea kulalamika mlitaka mpaka kwenda ikulu kwa mama samia hamuwezi kuwa na akili.
Ila msiseme Hakuna aliyeliona hili.
 
Kwani Karia alipata mwaliko wa Uto?
 
Kwa .uonekano tu Karia ni mshamba na hajitambui hiyo nafasi ya rais wa tff aliipataje mara 2 mfululizo?

Ninamiss uongozi makini wa Leonard Tenga.
Karia ni mharo tu tukiweka ushabiji pembeni
Leodgar Chilla Tenga was
the best president! Wakati wa uongozi wake, hakukuwa na huu ujinga. Alijitahidi sana kuwekeza nguvu zake zote kwenye uongozi, na pia kuiimarisha TFF. Na kamwe hakujishughulisha kabisa na siasa za usimba na uyanga!

Malalamiko yalianza pale tu watu ambao hawakuwahi kuwa wachezaji wa mpira, kujipenyeza kwenye uongozi! Mfano Jamal Malinzi, na huyu Wallace Karia!


I wish wakati mwingine wenye mpira wao watachukua madaraka, ili hawa wanasiasa warudi kwenye siasa za kukijenga chama chao cha ccm.
 
Wakati wa Malinzi, mbna yeye ndo aliweka wazi kabisa, ktk kipindi chake Yanga itatwaa ubingwa tyuuh. Na sio team ingine.

Tulitulia sanaaaa.
Hoja yangu na yako hazina uhusiano.
Mimi sifuatliagi kuwa hata Karia anapendelea timu gani naongelea uwezo wake kuiongoza taasisi hiyo
 
Sasa wewe unaona Yanga wana akili mtu kama Hersi kumkumbatia Haji Manara aliyezuiwa asijihusishe na soka ni mwanzo mbaya kwa uongozi wake!
 
Sasa wewe unaona Yanga wana akili mtu kama Hersi kumkumbatia na kumruhusu Haji Manara aliyezuiwa asijihusishe na soka na TFF kwa miaka miwili ni mwanzo mbaya kwa uongozi wake! Siku ambayo Karia alihudhuria na mitusi alimwagiwa tena na msemaji wa Yanga! level yenu ya uelewa ni ndogo sana wana Yanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…