Huo uSimba na uYanga mwenzio sina na sikubahatika. Ukiangalia Kwa jicho jepesi utaona ni Jambo dogo lakini kama kweli Karia atakwenda uwanjani Leo, nawajua Watanzania Kwa kelele, labda asije Aug.13.
Naomba mgeni rasmi awe mwingine ili hili Jambo lisitokee.