Leo katika historia Tanganyika

Leo katika historia Tanganyika

Kweli kabisa. Inasikitisha sana lakini. Viongozi wetu wa kizazi cha leo hawaijui TAA wala TANU. Wanajua CCM na vyama vya upinzani, Utekaji na kupoteza wakosoaji wa Serikali iliyo madarakani.
😭😭😭yana mwisho na hauko mbali
20241218_051429.jpg
 
Bila shaka Tanganyika (Afrika mashariki ya ujerumani )uliyoileta kwenye mada haiwezi kurudi! Kwa sababu italazimika kuyafuta mataifa ya Rwanda na Burundi na sehemu ya nchi ya Mosambique kama ulivyotaja na hilo siyo rahisi kutokea.
Majadiliano yakienda vizuri yawezekana kurudisha Tanganyika ya mwingereza hadi kabla ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar na hilo litawezekana endapo tutakuwa tayari kuvunja muungano kila upande uangalie mambo yake au tukubali muungano wa serikali tatu.
Hivi mpaka leo unaamini tuna muungano?
 
Hii ndio ilikuwa Bendera yetu, na katikati ya Bendera ni Ngao ya Jamii (Coat of Arms) ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika (Ujerumani ya Afrika Mashariki) miaka ya 1885 mpaka 1918.

Wakati huo nchi ilikuwa na eneo la Mita Square 994,996 Km² ndani yake kuna Burundi na Rwanda, na Eneo la Nchi ya Msumbiji lililoitwa Kionga Triangle.

Je wajua neno la Kiswahili "Shule" limetoka kwenye Neno la Kijerumani "Schule" yote yakimaanisha "School".

Maeneo mengine yaliitwa hivi:

• Rombo iliitwa Fischerstadt
• Nyakanazi iliitwa Friedberg
• Kisarawe iliitwa Hoffnungshöh
• Tukuyu iliitwa Langenburg
• Ushetu iliitwa Marienthal
• Shume (huko kwa Wapare wambugu) kuliitwa Neu-Hornow
• Mbulu kuliitwa Neu-Trier
• Sekenke paliitwa Sachsenwald na ilikua ni Mgodi.
• Lushoto iliitwa Wilhelmsdorf.

Kipindi hiki ndio tulijengewa Reli iliyoitwa Usambara Railway mwaka 1891 ilijengwa na Wajerumani na ilikuwa na Km 350, ilianzia Mjini Tanga, ikawa na makutano na Kenya Mji wa Kahe, ikapita Moshi mpaka Arusha.

Wajerumani katika Reli hii walikuwa na vichwa vya Treni 18 (Locomotive) na mabehewa 199, kipindi hicho Reli hii ilikuwa na wafanyakazi 562 huku kati yao 35 tu ndio walikuwa Wajerumani.

Lengo la Wajerumani kujenga Reli hii ilikuwa ni kuunganisha Bandari ya Tanga na Ziwa Victoria kupitia milima ya Usambara.

Treni la kwanza lilipita likiwa tupu tarehe 26 September 1911 ili kujaribu safari na kufanikiwa 100%, likapita tena likiwa na Abiria tarehe 4 October 1911 na kufanikiwa 100% Wajerumani wakaamini kweli kitu ni Konki.

Hivyo ukafanyika uzinduzi wa Reli tarehe 7 February 1912, na baada ya hapo Treni lilikuwa lazima lifanye safari kila siku kutoka Tanga mpaka Buiko na Kurudi, safari ilichukua muda wa masaa 14 na dakika 40.

Reli hii haikukamilika mpaka Arusha sababu ya Vita ya kwanza ya Dunia, Waingereza ndio Wakaiunganisha.

#Kutoka_MaktabaView attachment 3188252
Mi nilikua sijazaliwa...



...Ni Hayo Tu!
 
Hii ndio ilikuwa Bendera yetu, na katikati ya Bendera ni Ngao ya Jamii (Coat of Arms) ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika (Ujerumani ya Afrika Mashariki) miaka ya 1885 mpaka 1918.

Wakati huo nchi ilikuwa na eneo la Mita Square 994,996 Km² ndani yake kuna Burundi na Rwanda, na Eneo la Nchi ya Msumbiji lililoitwa Kionga Triangle.

Je wajua neno la Kiswahili "Shule" limetoka kwenye Neno la Kijerumani "Schule" yote yakimaanisha "School".

Maeneo mengine yaliitwa hivi:

• Rombo iliitwa Fischerstadt
• Nyakanazi iliitwa Friedberg
• Kisarawe iliitwa Hoffnungshöh
• Tukuyu iliitwa Langenburg
• Ushetu iliitwa Marienthal
• Shume (huko kwa Wapare wambugu) kuliitwa Neu-Hornow
• Mbulu kuliitwa Neu-Trier
• Sekenke paliitwa Sachsenwald na ilikua ni Mgodi.
• Lushoto iliitwa Wilhelmsdorf.

Kipindi hiki ndio tulijengewa Reli iliyoitwa Usambara Railway mwaka 1891 ilijengwa na Wajerumani na ilikuwa na Km 350, ilianzia Mjini Tanga, ikawa na makutano na Kenya Mji wa Kahe, ikapita Moshi mpaka Arusha.

Wajerumani katika Reli hii walikuwa na vichwa vya Treni 18 (Locomotive) na mabehewa 199, kipindi hicho Reli hii ilikuwa na wafanyakazi 562 huku kati yao 35 tu ndio walikuwa Wajerumani.

Lengo la Wajerumani kujenga Reli hii ilikuwa ni kuunganisha Bandari ya Tanga na Ziwa Victoria kupitia milima ya Usambara.

Treni la kwanza lilipita likiwa tupu tarehe 26 September 1911 ili kujaribu safari na kufanikiwa 100%, likapita tena likiwa na Abiria tarehe 4 October 1911 na kufanikiwa 100% Wajerumani wakaamini kweli kitu ni Konki.

Hivyo ukafanyika uzinduzi wa Reli tarehe 7 February 1912, na baada ya hapo Treni lilikuwa lazima lifanye safari kila siku kutoka Tanga mpaka Buiko na Kurudi, safari ilichukua muda wa masaa 14 na dakika 40.

Reli hii haikukamilika mpaka Arusha sababu ya Vita ya kwanza ya Dunia, Waingereza ndio Wakaiunganisha.

#Kutoka_MaktabaView attachment 3188252
Bora umeleta hii mkuu,nadhani tutawaliwe tena kwa mara nyingine na hawa Germany actively.
 
Na Zanzibar watarudishiwa ukanda wao wa Pwani kutoka Mombasa Kenya mpaka mpakani na Msumbiji ? Yaani miji ya Tanga, Dar na Mtwara itarudi Zanzibar.
 
Na Zanzibar watarudishiwa ukanda wao wa Pwani kutoka Mombasa Kenya mpaka mpakani na Msumbiji ? Yaani miji ya Tanga, Dar na Mtwara itarudi Zanzibar.
Hiyo ni miji ya Tanganyika
 
Na Zanzibar watarudishiwa ukanda wao wa Pwani kutoka Mombasa Kenya mpaka mpakani na Msumbiji ? Yaani miji ya Tanga, Dar na Mtwara itarudi Zanzibar.
Tanga, Dar na Mtwara ilikuwa ya Tanganyika tokea enzi za Mjerumani. Hata ikulu ya Dar Es Salaam ilijengwa na Mjerumani.

Na mipango miji ya jiji la Tanga iliwekwa na Mjerumani.
 
Tanga, Dar na Mtwara ilikuwa ya Tanganyika tokea enzi za Mjerumani. Hata ikulu ya Dar Es Salaam ilijengwa na Mjerumani.

Na mpango mji wa Tanga uliwekwa na Mjerumani.
Kabla ya mjerumani dola ya
Tanga, Dar na Mtwara ilikuwa ya Tanganyika tokea enzi za Mjerumani. Hata ikulu ya Dar Es Salaam ilijengwa na Mjerumani.

Na mpango mji wa Tanga uliwekwa na Mjerumani.
Tunazungumza Zanzibar kabla ya mjerumani. Pia kumbuka Tanganyika imeanzishwa na muingereza.
Enzi za mjerumani hapakuwepo kitu kinaitwa Tanganyika bali palikuwepo Afrika mashariki ya ujerumani ambayo mipaka yake ilikuwa ni eneo lote la Tanzania bara ya sasa pamoja na Rwanda na Burundi .
Zanzibar imekuwepo kabla ya Tanganyika na mipaka ya Zanzibar ilikuwa inaanzia pwani ya kusini mwa Somalia , maeneo ya Mombasa, Tanga, Dar es Salaam,Lindi ,Mtwara na pwani ya kaskazini ya msumbiji , maeneo yote hayo kabla ya 1885 yalikuwa yakiitwa dola ya Zanzibar.
 
Kabla ya mjerumani dola ya

Tunazungumza Zanzibar kabla ya mjerumani. Pia kumbuka Tanganyika imeanzishwa na muingereza.
Enzi za mjerumani hapakuwepo kitu kinaitwa Tanganyika bali palikuwepo Afrika mashariki ya ujerumani ambayo mipaka yake ilikuwa ni eneo lote la Tanzania bara ya sasa pamoja na Rwanda na Burundi .
Zanzibar imekuwepo kabla ya Tanganyika na mipaka ya Zanzibar ilikuwa inaanzia pwani ya kusini mwa Somalia , maeneo ya Mombasa, Tanga, Dar es Salaam,Lindi ,Mtwara na pwani ya kaskazini ya msumbiji , maeneo yote hayo kabla ya 1885 yalikuwa yakiitwa dola ya Zanzibar.
🙏🙏🙏
 
Tanga, Dar na Mtwara ilikuwa ya Tanganyika tokea enzi za Mjerumani. Hata ikulu ya Dar Es Salaam ilijengwa na Mjerumani.

Na mipango miji ya jiji la Tanga iliwekwa na Mjerumani.
Tanganyika imeanzishwa na muingereza.
Wakati wa mjerumani hapakuwa na nchi inaitwa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom