Leo katika kumbukumbu michezoni

Leo katika kumbukumbu michezoni

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Marehemu Thobias Nkoma, Shaban Mussa, Marehemu Mussa marehemu kihwelo.

Isihaka Mwitu,Marehemu Adamu Sab, Daudi Salum, Twaha Hamidu na marehemu Ibrahim Malekano.

Kutoka kushoto waliochuchumaa;
Amri Ibrahim,Mozes Mkandawire,Talib Hilal,Zamoyoni Mogella na Sunday Juma.

Wakuu Hiyo ilikuwa Railway station walikuwa wanaenda Tanga kucheza na Coastal Union,mwaka 1983.

Nyuma ya marehemu Sabu Captain Mtemi Ramadhan [emoji460][emoji1374].

Screenshot_20220507-114438.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Marehemu Thobias Nkoma,Shaban Mussa,Marehemu Mussa marehemu kihwelo.
.
Isihaka Mwitu,Marehemu Adamu Sab, Daudi Salum,Twaha Hamidu na marehemu Ibrahim Malekano....
Daud Salum na Ibrahim Malekano nilisoma nao. Daud Salum alikuwa mbele yangu mdarasa matano, yaani nikiwa form 1 yeye alikuwa form 5.

Yeye tulikuwa naye shule moja Tabora School. Ibrahim Malekano alikuwa Kazima akiwa mbele yangu madarasa mawili, yaani nikiwa form 1 yeye alikuwa Form 3;

Alikuwa darasa moja na mchezaji mwingine Marsha aliyejiunga na Yanga. Mola wetu aiweke pema peponi roho ya marehemu Malekano.
 
Daud Salum na Ibrahim Malekano nilisoma nao. Daud Salum alikuwa mbele yangu mdarasa matano, yaani nikiwa form 1 yeye alikuwa form 5. Yeye tulikuwa naye shule moja Tabora School. Ibrahim Malekano alikuwa Kazima akiwa mbele yangu madarasa mawili, yaani nikiwa form 1 yeye alikuwa Form 3; alikuwa darasa moja na mchezaji mwingine Marsha aliyejiunga na Yanga. Mola wetu aiweke pema peoponi roho ya marehemu Malekano.
Unamaanisha ulisoma na Daudi Salum "Bruce Lee"?
 
Mimi huwa nasikitika sana ninapotazama picha (picha zozote) halafu natambulishwa;huyu ni marehemu fulani, huyu naye ni marehemu fulani. Anyway,siyo kosa la mtambulishaji. Ni vile tu huwa naumia kujua fulani alishakufa. Kifo kinaniumiza sana, ila nasi tu kwakuwa ndo njia tuliyowekewa.
 
Daud Salum na Ibrahim Malekano nilisoma nao. Daud Salum alikuwa mbele yangu mdarasa matano, yaani nikiwa form 1 yeye alikuwa form 5.

Yeye tulikuwa naye shule moja Tabora School. Ibrahim Malekano alikuwa Kazima akiwa mbele yangu madarasa mawili, yaani nikiwa form 1 yeye alikuwa Form 3;

Alikuwa darasa moja na mchezaji mwingine Marsha aliyejiunga na Yanga. Mola wetu aiweke pema peoponi roho ya marehemu Malekano.
Hongera mkuu,we kweli mhenga,maana Daudi Salum nilikutana nae sehemu flani wakati naanza kazi miaka kadhaa iliyopita akiwa ofisa kipenyo.
 
Back
Top Bottom