Leo katika kumbukumbu: Usajili wa Pa Omar Jobe Simba SC

Leo katika kumbukumbu: Usajili wa Pa Omar Jobe Simba SC

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,264
Reaction score
27,132
Tarehe kama ya leo (16 Januari, 2024) klabu ya Simba ilifanikiwa kupata saini ya miaka miwili ya mshambuliaji Pa Omar Jobe raia wa Gambia akitokea klabu ya FC Zhenis inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kazakhstan ambapo baadae alivunjiwa mkataba baada ya kushindwa kufikia matarajio ya wengi.
1737009523440.png
 
Dah! Ila mashabiki wa simba wanaonewa sana na viongozi wao.
 
Streka kila akigusa mpira yupo offside.

Ila ni suala la muda tu kabla hajajiunga na kina Mzize pale utopoloni.
 
🥲🥲mods mnaoenda kuniingilia mamlaka yangu sasa nani kawaambia muedit 🥲
 
Back
Top Bottom